Dada yetu ameolewa na tajiri lakini hataki kumuibia mume wake hela ili atukwamue na sisi

Dada yetu ameolewa na tajiri lakini hataki kumuibia mume wake hela ili atukwamue na sisi

Zee la madawa

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2022
Posts
1,728
Reaction score
4,075
Mimi ni kijana umri wangu ni miaka 31, nimeoa na nina watoto wawili.

Kwetu tumezaliwa watoto saba, Mimi ni watatu kuzaliwa.

Dada Iko hivi, Kuna mdogo wetu wa kike kaolewa na jamaa tajiri sana, huyo mume wake ana magari makubwa haya ya mizigo, ana maduka ya vifaa vya magari, Yani Kwa kifupi huyo mume wake ni tajiri.

Ila Cha kusikitisha ni kwamba mdogo wetu ameshindwa kuiba hata Hela Kwa huyo mume wake Ili angalau atupatie mitaji ndugu zake, kipindi ana karibia kuolewa mama alimkarisha chini akamwambia anatakiwa afanye juu chini ahakikishe kabla ya chochote akisha ingia kwenye ndoa aanze kuiba kidogo kidogo Ili atukomboe ndugu zake, Lakini naona kasahau vyote alivyo ambiwa na mama pamoja na mamdogo.

Kuna siku nilikuwa Sina hata mia, nikampigia simu nikamueleza anitumie angalau hata elfu kumi tu Ili wanangu wasilale njaa, akaniambia sawa nakutumia, lakini huwezi amini hakunitumia na Kila nikimpigia simu akawa hapokei, nikijaribu Kwa namba nyingine anapokea na akisikia ni sauti yangu anakata simu, siku hiyo tulilala njaa, Inaniuma Sana.

Hivi dada yangu ndugu kama huyu anafaa kuendeleza naye undugu? Mtu yupo kwenye hela kiasi kile anashindwa kuiba Ili atupatie mitaji ndugu zake wakati anajua kabisa familia yetu sisi ni masikini.

Mdogo wetu ana tembelea haya magari sijui wanaita lenji rova, akija kijijini anaona sifa watu wanavyo mshangaa ila haoni aibu maisha magumu tunayo Pitia kaka zake.
 
Mimi ni kijana umri wangu ni miaka 31, nimeoa na nina watoto wawili.

Kwetu tumezaliwa watoto saba, Mimi ni watatu kuzaliwa.

Dada Iko hivi, Kuna mdogo wetu wa kike kaolewa na jamaa tajiri sana, huyo mume wake ana magari makubwa haya ya mizigo, ana maduka ya vifaa vya magari, Yani Kwa kifupi huyo mume wake ni tajiri.

Ila Cha kusikitisha ni kwamba mdogo wetu ameshindwa kuiba hata Hela Kwa huyo mume wake Ili angalau atupatie mitaji ndugu zake, kipindi ana karibia kuolewa mama alimkarisha chini akamwambia anatakiwa afanye juu chini ahakikishe kabla ya chochote akisha ingia kwenye ndoa aanze kuiba kidogo kidogo Ili atukomboe ndugu zake, Lakini naona kasahau vyote alivyo ambiwa na mama pamoja na mamdogo.

Kuna siku nilikuwa Sina hata mia, nikampigia simu nikamueleza anitumie angalau hata elfu kumi tu Ili wanangu wasilale njaa, akaniambia sawa nakutumia, lakini huwezi amini hakunitumia na Kila nikimpigia simu akawa hapokei, nikijaribu Kwa namba nyingine anapokea na akisikia ni sauti yangu anakata simu, siku hiyo tulilala njaa, Inaniuma Sana.

Hivi dada yangu ndugu kama huyu anafaa kuendeleza naye undugu? Mtu yupo kwenye hela kiasi kile anashindwa kuiba Ili atupatie mitaji ndugu zake wakati anajua kabisa familia yetu sisi ni masikini.

Mdogo wetu ana tembelea haya magari sijui wanaita lenji rova, akija kijijini anaona sifa watu wanavyo mshangaa ila haoni aibu maisha magumu tunayo Pitia kaka zake.
Na wewe tafuta mme mwenye hela uolewe uwe unawaibia ndugu zako

Kweli nimeamini kuna maisha mengi sana hapa duniani
 
1000040372.jpg
 
Tatizo la familia yenu ni la kiakili.

Hata akiiba kiasi gani, akikupeni mtazila zitaisha mtamuomba tena akaibe.

Cha muhimu nenda front kwa shemeji yako, mwambie AKUSAIDIE KUTAFUTA KAZI, ikimpendeza atakuajiri kwake.

Pesa uliyoitolea jasho ni tamu sana.
 
Wewe Mpuuzi kama kmma ya demu wako.

Mwanaume jemedari hauwez ongea upuuzi huu
 
Mimi ni kijana umri wangu ni miaka 31, nimeoa na nina watoto wawili.

Kwetu tumezaliwa watoto saba, Mimi ni watatu kuzaliwa.

Dada Iko hivi, Kuna mdogo wetu wa kike kaolewa na jamaa tajiri sana, huyo mume wake ana magari makubwa haya ya mizigo, ana maduka ya vifaa vya magari, Yani Kwa kifupi huyo mume wake ni tajiri.

Ila Cha kusikitisha ni kwamba mdogo wetu ameshindwa kuiba hata Hela Kwa huyo mume wake Ili angalau atupatie mitaji ndugu zake, kipindi ana karibia kuolewa mama alimkarisha chini akamwambia anatakiwa afanye juu chini ahakikishe kabla ya chochote akisha ingia kwenye ndoa aanze kuiba kidogo kidogo Ili atukomboe ndugu zake, Lakini naona kasahau vyote alivyo ambiwa na mama pamoja na mamdogo.

Kuna siku nilikuwa Sina hata mia, nikampigia simu nikamueleza anitumie angalau hata elfu kumi tu Ili wanangu wasilale njaa, akaniambia sawa nakutumia, lakini huwezi amini hakunitumia na Kila nikimpigia simu akawa hapokei, nikijaribu Kwa namba nyingine anapokea na akisikia ni sauti yangu anakata simu, siku hiyo tulilala njaa, Inaniuma Sana.

Hivi dada yangu ndugu kama huyu anafaa kuendeleza naye undugu? Mtu yupo kwenye hela kiasi kile anashindwa kuiba Ili atupatie mitaji ndugu zake wakati anajua kabisa familia yetu sisi ni masikini.

Mdogo wetu ana tembelea haya magari sijui wanaita lenji rova, akija kijijini anaona sifa watu wanavyo mshangaa ila haoni aibu maisha magumu tunayo Pitia kaka zake.
Daah yaani khaaa..... inabidi umpelekee Kago Stakabadhi zetu yaani unalilia hela ya shemeji yako utazani ya kwako.........aliye olewa ni dada yako sio wewe.... maana utawafanya watu wakufikirie vibaya.
 
Back
Top Bottom