Ilisolokobwe
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 1,865
- 833
movie inaitwa I spit opn your Grave. pia hiyo movie haina malovee kama vile wewe unavyosema ila kuna kama scenes mbili hivi za mwanamke anabakwa!Wana jamvi..
Binamu yangu ambaye tumekua tukipendana kindugu, anataka nifanye nae... Iko hivi:-
Yeye kaolewa mi sijaoa, ana mtoto wa 1yr. Dadalili akija geto kwangu, huwa anataka tukae kitandani na hatimae hujilaza. Juzi shemeji alisafiri kaenda mkoani kikazi, akaomba nkalale kwa ajili ya ulinzi, nkaenda. Nilipoenda kulala alikuja, na mie nilikua na kazi naifanya kwenye laptop,, akaja akaomba nimuwekee muvi.., akajichagulia muvi iitwayo "i split on ur grave" ndani yake kuna malove..., nkashangaa kanipandishia mguu, nkamwangalia naona analembua. Nkamwomba akalale kwake maana alintamanisha, akaenda. Alipofika room kwake akani sms, anataka aje alale kwangu, nikamkatalia. Nimfanyaje, na mi sipendi tu do?
Wana jamvi..
Binamu yangu ambaye tumekua tukipendana kindugu, anataka nifanye nae... Iko hivi:-
Yeye kaolewa mi sijaoa, ana mtoto wa 1yr. Dadalili akija geto kwangu, huwa anataka tukae kitandani na hatimae hujilaza. Juzi shemeji alisafiri kaenda mkoani kikazi, akaomba nkalale kwa ajili ya ulinzi, nkaenda. Nilipoenda kulala alikuja, na mie nilikua na kazi naifanya kwenye laptop,, akaja akaomba nimuwekee muvi.., akajichagulia muvi iitwayo "i split on ur grave" ndani yake kuna malove..., nkashangaa kanipandishia mguu, nkamwangalia naona analembua. Nkamwomba akalale kwake maana alintamanisha, akaenda. Alipofika room kwake akani sms, anataka aje alale kwangu, nikamkatalia. Nimfanyaje, na mi sipendi tu do?
movie inaitwa I spit opn your Grave. pia hiyo movie haina malovee kama vile wewe unavyosema ila kuna kama scenes mbili hivi za mwanamke anabakwa!
sasa kama huyo binamu yako anataka kubakwa fine ila wala usiisingizie movie.
kama haupendi mduu sasa huku umekuja kuomba ruhusa ya wanajamii au? maana hadi hapo tayari maamuzi unayo kabisa sasa I wonder what else do you want us to do.
The cards are on your laps either you take them or leave them ila always kaa ukijua ya kwamba mke wa mtu ni sumu.
Threads kama hizi huwa napenda tu kusoma comments za wadau....teh teh teh!