Dada yangu anatafuta mchumba mwenye sifa zifuatazo chini baada ya habari

nina dada yangu mmoja hajapima lakini anahisi amehathirika, namshauri akapime anaogopa ameachana na mpenzi wake kutokana na kumuacha peke yake mda mrefu kama hana mpenzi hivyo akahisi mpenzi wake alikuwa na mtu mwingine kwa sababu walikuwa mikoa tofauti.soon akampata mkaka mwingine ambaye alimwonyeshea mapenzi ya dhati hawakukaa mda mrefu yule mkaka akaomba wafanye mapenzi bac dada yangu siku ya siku akaamua afanye nae mapenzi baada ya kutoka kwenye harusi ya rafikie huyo mkakabac ndo wakalala wote.

kuishi kwenye mahusiano mda dada yangu akawa na upendo wa dhati akamzoea akawa anaongozana nae cku moja njian akacmamishwa na mtu mmoja akamuuliza huyo ni mpenzi wako maana nawaona mda mara nyingi akamwambia huyo kaka ameathirika tena aliyempa ukimwi yupo hapahapa amezaa nae mtoto mmoja walikuwa wanaishi wote lakin ss wametengana , kiukweli dada yangu alimalizia safari waliyokuwa wanaenda then alivyorudi nyumban aliishiwa nguvu akawa anatafakari hivi ni kweli yawezekana ee kwa maana alimwambia anamtoto lakini hawapo tena na mama yake kwa sababu ya din, basi akakata mawasiliano na hakutaka kumpenda tena vikaendelea yule kaka akaww anamsumbua sana na kumlilia dada hakumhitaji tena alafu akasikia kwenye ukoo wa yule mwanamke ni washirikina hivyo hakupenda kuwa nae karibu tena.

mpaka ss yupo na anaendelea na kazi yake officn kwenye kampuni fulan hivi amesoma ana degree na huyo mvulana alifanya nae mapenzi mara mbili tu umepita mwaka sasa yupo single lakin hataki kwenda kupima anachosema anamtaka mpenzi aliyeathirika anayejitambua na anayejishughurisha na maisha mwenye future awe mfanyabiashara au aliyesoma anayefanya kazi pia mkristo ili ampeleke akapime akiwa nao wapange mikakati ya maisha mpaka ndoa!

kuna uwezekano wa kufanya mapenzi na muathirika na usipate maambukizi,,,,,,,,,,
chamuhimu apewe ushauri aweze kwenda kupimwa......
 
ahsanten wana jf napenda coz napata faraja on how to help ma csy!ucombee uishi na mtu awe na stress unaweza wewe ukakosa raha!mwenye maswli aulize anipe njia ya kuongea nae then nawajibu!alafu wanaouliza kuwa nakimbelembele hapana jamani wengine tueumbwa kuwasaidia watu so endelea kutoa view nitawaupdate mpaka siku ya mwisho kiotakavyotoke

dada ako sio member wa hum.....
 
yap hayumo wala hapendi hizi habari za mitaandao co watup?facebook wala twiter na mengineyo
 
Back
Top Bottom