Watu wanajidai kuponda tu hapa wakati kiukweli vijana wengi sana tumejifunzia kugegeda kwa mabeki tatu. Mimi nilikua nanyata usiku mnene hapo nimeshampanga beki tatu asifunge mlango naenda kumega kiulaini kabisa... na mchana watu wakienda kazini sisi huku ndio tunaanza kazi.. Mabeki tatu waheshimiwe!