Asante Abraham,hujakosea, ndo nilichosoma na kazi yangu ya mwanzo ilikuwa hiyo. Ni kazi ninayoipenda japo inaniumiza sana kusikia mambo watu wanayopitia na pia inanipa woga.Mpe moyo,kwa Mungu kuna majibu yote,ukumbuke hata kwenye biblia watu kama Yusuph waliota,lakini tafsiri ya ndoto inaweza kuwa kama inavyoonekana au tofauti,na asiogope,aulizane tu na Mungu wake ni nini maana ya hili.