verifaidi yuza
JF-Expert Member
- Sep 13, 2018
- 2,828
- 5,735
daahh mmmaaee imebidi nkaangalie youtube ilo tangazo uyo mdada ni hatari
jiangalie sana mdau uwai kupaata tiba . una dalili zote za kupenda kulelewa kunakosababisha ushogaIle "ndo nimetumia babbaa" nimeifanya ring tone.
Yaani kila nikiliona hilo tangazo hamu ya kuoa inakuja ghafla.
Macho huona yanachochagua kuona.jiangalie sana mdau uwai kupaata tiba . una dalili zote za kupenda kulelewa kunakosababisha ushoga
Hio ni tamthilia za TV,hao wanawake ktk maisha ya kila siku ni mbinde kuwapataMkuu ahsante sana kuiweka hapa.
Nimetamani sana kuwa naambiwa kama huyo jamaa ingawa sina mke, mchumba, demu wala manzi. Huyo mke wake amemalizia vizuri mpaka zile nyuzi za negativity humu nazisahau.
haya mambo haya bora tutafute pesa tuHahahah Mara ya kwanza kuliona hlili Tangazo nikakumbwa wimbo wa TWANGA PEPERA wa KISA CHA MPEMBA
Sent using Jamii Forums mobile app
Hio ni tamthilia za TV,hao wanawake ktk maisha ya kila siku ni mbinde kuwapata
In real life yaani pale Ni kisa Cha MPEMBA livehaya mambo haya bora tutafute pesa tu
Ukimpata nistueIla wapo lakini
Usije ukaenda mpigia chaputaWakuu habari?
Kuna tangazo jipya la mtandao wa TIGO naliona wiki kadhaa sasa likimuonyesha mwanaharakati mmoja akiacha 10,000 kwa mkewe/mpenzi wake na akimuelewesha kuwa ndio kiasi alichonacho.
Jamaa anarudi magetoni anakuta mama katoa diko la bei mbayaa (ukilinganisha na 10,000 alioacha kama kodi ya meza)
Sasa kuna namna yule dada anamchanganulia yule mwanaharakati amejibana vipi kununua bundle za tigo mpaka akabaki na chenchi ndefu iliotosha kupendezesha meza.
Asee palee anapomuambia "Ndio nilivoitumiaa babaa" kwa sauti ya kudeka na kumtoa nyoka pangoni mpaka kwenye tiles mimi hoii wakuu..!!!
Link ya video ya Tangazo hilo.
Jamani wanawake muwe mnatuongelesha vile kila tukirudi kutoka vibaruani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Daaaaa, watu tumepishana! Mimi, waalaaaa huwa sitilii maanani yale mazungumzo. Huwa nabaki nimekodolea macho tu, ile sura ya huyo mdada! Nimeizimia kweli!
jiangalie sana mdau uwai kupaata tiba . una dalili zote za kupenda kulelewa kunakosababisha ushoga