So tunaongozwa na MWIZI!
Taratib basi unaturushia mate wenzio. Umepata dina kweli wewe? Manake hizi hasira ni za mtu mwenye njaa kali.mbona slaa mwizi tena aibu iliyo kubwa ni mtu aliyekua katika maadili ya kiroho lakini alikuwa mchakachua wanawake yakamshinda na hatimae akanogewa na mke wa mtu mpaka akamuiba na bila aibu akawa anamnadi kwenye majukwaa sijui yule mama alimuwekea limbwata mpaka Dr akajisahau? mimi sijui ila kamshangae kwanza huyo.
ukimaliza huyo kawashangae wale viongozi wa kiroho ambao wamejifanya hawaoi hali ya kuwa Mitalimbo yao iko active sasa Jumapili huishia kuwachakachua wanawake walionona wanaoenda kuwatamanisha
Haya kaka Nape tumekusikia! Una swali la nyongeza?
Taratib basi unaturushia mate wenzio. Umepata dina kweli wewe? Manake hizi hasira ni za mtu mwenye njaa kali.
Kukusaidia labda nikuelekeze mahali penye Maulid ukapate ubwabwa so nakuPM sasa hv we andaa kanzu na ndizi mbivu.nielekeze uko wapi nije kukula wewe labda ndo utaona sina njaa.
Napata mashaka na Akili zako mkuu, hv hv ubongo wako umeingia wadudu gani?swali la nyongeza kwako sina ila kamuulize huyo anayedai kaibiwa muulize aliibiwa kura gani? mbona wanachama wake bado anao? mwambie awahesabu nchi nzima aone kama angeweza kushinda kwa kura. yeye ushindi alikuwa nao kwenye media siyo kwa wapiga kura.halafu nyani haoni kun...le, mbona naye mwizi tena mwizi mkubwa? kathubutu kuiba mke wa mtu?!!! wala huumii kwa hilo. ebu Mtamu jiulize wewe uibiwe mume wako utajisikiaje?huyo ndo tunatakiwa tumshangae kwani wanawake mko wengi,huenda wewe hujaolewa siungeenda akakuowa tu mtamu?
haya majungu kwa sasa hayana nafasi. leta post zenye tija na wakati uliopo.kwani hicho ni kilio cha mbwa aliyekosa,hubaki anabweka tu mbweko ambao haumsaidii boss wake.subiri ushuhudie muanguko wa ukweli kwa chama chako uchaguzi ujao.huyo mjeda huenda ulikuwa unaongea nae akiwa amepuliza msokoto wa bangi na likiwa linamkolea.jitahidi kuleta post zenye manufaa zaidi kwa mtanzania
Analipwa na CCM buku mbili per day so msamehe bure. Hapa yupo kazini.Napata mashaka na Akili zako mkuu, hv hv ubongo wako umeingia wadudu gani?
Muda wote huo ulikuwa hauna info? Uko dunia nyingine kabsa ndg yangu.
mbona slaa mwizi tena aibu iliyo kubwa ni mtu aliyekua katika maadili ya kiroho lakini alikuwa mchakachua wanawake yakamshinda na hatimae akanogewa na mke wa mtu mpaka akamuiba na bila aibu akawa anamnadi kwenye majukwaa sijui yule mama alimuwekea limbwata mpaka Dr akajisahau? mimi sijui ila kamshangae kwanza huyo.
ukimaliza huyo kawashangae wale viongozi wa kiroho ambao wamejifanya hawaoi hali ya kuwa Mitalimbo yao iko active sasa Jumapili huishia kuwachakachua wanawake walionona wanaoenda kuwatamanisha
Nimefurahi kumkuta mwanamke huku kwenye polics halafu haipendi ccm,big up dada,Back to topic;hakuna siri kuwa huyu mtu aliiba,lakini muda utaongea!!
Taratib basi unaturushia mate wenzio. Umepata dina kweli wewe? Manake hizi hasira ni za mtu mwenye njaa kali.
Hilo umenena,magamba ni hatari wao solution yao ni nguvu kwenda mbeleSuala la wizi wa kula kila mtz mwenye akili timamu anajua ilo!
Furahi tu ndg yng, maisha yenyewe mafupi haya!umenifurahisha kwa jinsi ulivyomjibu