mabhuimerafulu
Member
- May 29, 2012
- 89
- 38
Jamani naomba a detailed CV ya Charles Charles mara mwanajeshi, mara kwenye magamba, ni nani hasa huyu binadamu. Siku hizi anaandikia gazeti la Jamhuri, ana Column huko...
kinachokusumbua kitu gani? Jiulize Jaji Augustino Ramadhani ni nani- Ni jaji wa mahakama, ni brigedia jenerali wa JWTZ, ni mpiga kinanda, ni Makamu mwenyekiti wa Tume ya Kuratibu maoni ya Katiba mpya, ni mwimbaji mahiri wa injili, nk. Sasa shida gani kwa charles charles kufanya kazi nyingi ikiwamo ya uandishi? Kale furu!Jamani naomba a detailed CV ya Charles Charles mara mwanajeshi, mara kwenye magamba, ni nani hasa huyu binadamu. Siku hizi anaandikia gazeti la Jamhuri, ana Column huko...