Ngoshwe,
Ukiiona ya Alhaj Bulembo aliyeshinda uenyekiti wazazi unaweza kuchanganyikiwa kabisa.
Hujakosea mkuu. Ndiye huyo.unamaanisha ni huyu aliyewahi kuwa refa na Mwenyekiti wa Chama cha Soka Mkoa wa Mara (MRFA), Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF)???.
![]()
.......
Asante sana mtoa mada,huyu jamaaa namfahamu vizuri alianzia nimzaliwa wa kagera, bahati mabaya sana kaishia darasa la saba sijui ilikuwaje hata haja enda sekondari maana wahayawengi wameenda sekondari,akaanzia maishayake ya kubangaiza Musoma alikuwa akiuza nguo kutoka uganda anazisambaza kwenye maduka, badae ndo akajiunga na mabo ya mpira akapata uongozi, akaingia kwenye siasa akawa diwani, akahamia dar es salam na kuomba kuteuliwa kuwania ubunge akaanguka huyu ndiye mwenyekiti siyo wa wazazi wote bali wa ccm,je atafika au ni pandikizi lamtu na je pesa za kuhonga kazitoa wapi kama sio za mafisadiTangu uchaguzi wa ndani ya ccm uanze msisimko umekuwa mdogo sana ndani na nje ya chama.na uchaguzi unavyoendelea ndiyo msisimko huo mdogo unazidi kufifia.kwa mfano,hadi muda huu matokeo ya jumuia ya wazazi hayajabandikwa kwenye jf ingawa yalijulikana tangu jana.
Hii ni hatari kupita kiasi.ina maana hakuna wanaccm humu jf.
Kwa taarifa tu aliyeshinda uenyekiti wa jumuia hii ana historia ya utapeli,wizi na hakuna ushahidi kama alimaliza hata darasa la saba.
Mtoa mada wewe ndo hujasoma,i guess ni mjinga wa mwisho,mtu kusoma si lazima asome kipindi kile unakijua wewe,jamaa kasoma kajiendeleza na ana shahada ya mambo ya siasa na uongozi,kuna vyuo vingi kwa sasa kama open university.usikalili mkuu