MOSI-nenda darasani ''MMEKURA''ulimaanisha nini?
PILI-huu ujasiri wa kutathimini ubora wa mtu kwa kigezo cha elimu umeupata wapi.
TATU-Aliyekuambia chadema inabagua wenye elimu na wasiyo na elimu ni nani?
NNE-Habari ya mjini ni kuwa prof J,amejiungana CHADEMA leo 21/5/2013 ,kama hujui habari ndo hiyo.
TANO-Rudi kundini,huko ulipo hutafikia malengo uliyo nayo hata ukiyafikia hayatadumu.acha kupoteza muda ''think big''