uchaguzi wa ndani wataupitia 2020Haaaaa haaaaa halafu hakuna uchaguzi wa ndani ya chama.
uchaguzi wa ndani wataupitia 2020Haaaaa haaaaa halafu hakuna uchaguzi wa ndani ya chama.
hapo hujajibu hoja zaidi ya kushutumuA
Akili za chekechea hizi. Na mpo wengi sana humu. uvulana mwingi.
acha kutafuta wanaume kijanja jielekeze kwenye hoja junya weweHivi una mume au mchumba?
wote hao walikua ccm,au umeanza kufuatilia siasa mwaka huu?ccm ukiingia leo utapewa nafasi mwakani, kama ilivyokuwa kwa mtulia, mollel, kalanga na waitara. Walijiunga na ccm mwaka jana mwaka huu ndipo wamepewa nafasi ya kugombea. Hivi ccm mna cv za kibajaji, msukuma na deo sanga?
ila wamerudi ccm na kupewa nafasi, wakati nyie wapiga filimbi mnaendelea kung'aa sharubuwote hao walikua ccm,au umeanza kufuatilia siasa mwaka huu?
Mke wa Naibu katibu mkuu wa chadema bara hahahahaHeshima mbele wakuu,
Nilifanikiwa kuona kampeni za Chadema Ukonga,kwa kweli mgombea wao yuko vizuri jukwaani kama kuna mtu ana CV yake iwekwe hapa ili tufanye maamuzi sahihi siku ya uchaguzi,
View attachment 860086
Tatizo hatupo kwa ajili ya kupewa nafasi tunashughuli zetu zinatuingizia kuliko hizo nafasiila wamerudi ccm na kupewa nafasi, wakati nyie wapiga filimbi mnaendelea kung'aa sharubu
hamuwezi kupewa nafasi kwa kuwa vichaa vyenu vimefikia level ya juu zaidiTatizo hatupo kwa ajili ya kupewa nafasi tunashughuli zetu zinatuingizia kuliko hizo nafasi
Hahahahahata chadema wenyewe hawana cv yake
Chadema unaweza kuingia usiku,mchana ukapewa nafasi ya kugombea ubunge
wote hao walikua ccm kabla
mwita, na wengine waliounga mkono juhudi za kukopa waliingia lini ccm na wakawa wagombea lini! acha kujitekenya wewehata chadema wenyewe hawana cv yake
Chadema unaweza kuingia usiku,mchana ukapewa nafasi ya kugombea ubunge