Cv ya kova tafadhali

kova hufai kuwa hata kamanda wa sungusungu wa kijiji wakati panya roada umewashinda...!!!
 
Jaman,ni cv ya kova inauliziwa,mbona mnaleta story za panya buku?Kova ana Phd.aka Dr.Kova
 
Ujinga mtupu hakuna cha paka wala panya watu wa Dar ni wambea sana
Jamani hatakama hampo dar, I la jueni ili tatizo halija anza jana, na hata kabla ya hao vijana kuanza safari yao...ila jana ilikuwa kufuru mitaa mingi ilivamiwa. Hatuawadanganyi, ila naamini kuna ndugu zenu wapohuku jaribu kuwa uliza pi
 
Yaani, hata mimi nashangaa, wananchi zaidi ya 1000 tunaonekana waongo kuhusu vurugu za jana..za panya road, watu tunakimbia kama vichaa njiani halafu hii leo inaonekana story za kutungwa tu...hii nchi hii,
 
Asante Wisdom, naona Mwamfupe ametabasamu/ ametuelewa baada ya ufafanuzi wako.

Dah. Mzee yule anapenda Screen hadi hatareee!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…