CUF yapoteza mvuto Mkuranga

matumbo

JF-Expert Member
Jul 9, 2011
7,225
3,944
Tangia jana wanachama wa Cuf hapa Mkulanga wamekuwa wakipita kutangaza mkutano wa chama chao,ambao utafanyika leo jumamosi katika viwanja vya magodauni mkuranga mjini...
Mgeni rasmi anatangazwa kuwa atakuwa Julius Mtatiro ambaye pia atautubia..

Kinachosikitisha hapa ni mwitikio mdogo wa watu kuhusu huu mkutano uku gari lao la matangazo likizomewa na kuitwa CCM B..

Hali hii imezua mshituko miongoni mwa makada wa CUF maana wameanza kupata wasiwasi wanaweza kupata watu wanane kama Arusha.ukizingatia Mtatiro ata hawamfahamu wengine ndio wanamsikia kwenye gari ya matangazo sijui itakuwaje maana Maalim Seif mwenye chama chake hatokuwepo.

Source:mimi mwenyewe nipo Mkuranga na baadae nitaleta picha za mkutano.
 
SASA CUF NAYO ITAMBE??IJIGAMBE??

ITAMBIE NA IJIGAMBIE KITU GANI??

ETI NAYO IJIGAMBE,,IJIGAMBE??IJIGAMBE INA NINI???


:madgrin: :madgrin:
 
CUF wanapata wanachostahili. Ni CCM B hao na wapo serikalini. Ni sehemu ya matatizo ya nchi hii.
 
SWALI LA KUJIULIZA,,,,,,,hv utajuaje muitikio wa watu kama ni mkubwa au ni mdogo ilhali mkutano bado haujafanyika?????
 
CUF wanapata wanachostahili. Ni CCM B hao na wapo serikalini. Ni sehemu ya matatizo ya nchi hii.

Kumbe CHADEMA ni chama cha KIDINI, wewe hua nakuona sana kuchangia katika nyuzi zinazohusu UDINI! Unaonekana wewe ni mtu HATARI sana na tena ni mwanafunzi wa Kambarage Nyerere muasisi mkubwa wa UDINI.
 
Kumbe CHADEMA ni chama cha KIDINI, wewe hua nakuona sana kuchangia katika nyuzi zinazohusu UDINI! Unaonekana wewe ni mtu HATARI sana na tena ni mwanafunzi wa Kambarage Nyerere muasisi mkubwa wa UDINI.

Toa upofu wako hapa.CDM inahusikaje? Hapa tunajadili kuhusu mke wa CCM
 
hiyo ni sehemu ndogo kabsa ya matokeo ya kufunga ndoa na ccm.matunda bado yanakuja.
 
Kumbe CHADEMA ni chama cha KIDINI, wewe hua nakuona sana kuchangia katika nyuzi zinazohusu UDINI! Unaonekana wewe ni mtu HATARI sana na tena ni mwanafunzi wa Kambarage Nyerere muasisi mkubwa wa UDINI.

sasa JK, Wassira, Membe, Lowassa ndo balaa. Wamelelewa na huyo huyo na bado mnawachagua.
 
Haya tutaona matokeo ya uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka 2014 na uchaguzi mkuu 2015! Yanini kupiga pye pye pye?
 
Back
Top Bottom