CUF wapanga kumng'oa Jery Silaa 2015

CUF wapanga kumng'oa Jery Silaa 2015

Levi isaya

Member
Joined
Apr 1, 2013
Posts
18
Reaction score
0
Wanachama wote wa cuf leo kuna mkutano mkubwa hapa gongolamboto mwisho mahali alipozaliwa, na kukua na mpaka ss anakaa huku, meya wa ilala, lengo ni kumwaga uzahifu wa meya huyu ktk kutelekeza sela za ccm. Kwan ameshindwa kabisa.mfano alihaidi kujenga ofisi za ccm huku mpaka leo hajajenga na eneo husika kulikuwa na ofisi ndogo za chama amezibomoa mda mrefu lkn ameshindwa kbisa kujenga izo ofisi. Pili amebomoa soko la g/kwalala lkn ameshindwa kulijenga lenye kiwango kama la zaman. Huku kwetu tunamuita mbomohaji asiyejua kujenga.
 
Viongozi wa ccm watadumu sana madarakani kwa sababu wanawatumikia wananchi. Wanapendwa hasa. Ccm oyee
 
Jery slaa ni mbunge mtarajiwa wa jimbo la segerea
 
Dogo janja, jerry slaa. Wanailala tunakukubali kwa uwajibikaji wako kwa wananchi
 
Kashindwa kujenga ofisi ya CCM,wanaolalamikia ni CUF.Mbona sielewielewi hapa!aliyeelewa naomba ufafanuzi tafadhari!
 
hiko kitoto Silaa sikipendi
lakini hawa CUF nao wamefulia hadi basi
 
Mimi si mpenz wa ccm kwa silaa propaganda zote mnazofanya ni sawa na kutupilia mbali jiwe kuu la pembeni.achen uswazi piga kaz na hko jembe!
 
Hilo la ofisi ya ccm kutokujenga nampongeza jerry, ccm haipaswi kuwa na ofisi popote katika taifa letu!
 
Wanachama wote wa cuf leo kuna mkutano mkubwa hapa gongolamboto mwisho mahali alipozaliwa, na kukua na mpaka ss anakaa huku, meya wa ilala, lengo ni kumwaga uzahifu wa meya huyu ktk kutelekeza sela za ccm. Kwan ameshindwa kabisa.mfano alihaidi kujenga ofisi za ccm huku mpaka leo hajajenga na eneo husika kulikuwa na ofisi ndogo za chama amezibomoa mda mrefu lkn ameshindwa kbisa kujenga izo ofisi. Pili amebomoa soko la g/kwalala lkn ameshindwa kulijenga lenye kiwango kama la zaman. Huku kwetu tunamuita mbomohaji asiyejua kujenga.

Hapa hoja ni moja tu ya kuhusu soko la Pugu Kwalala eneo ambalo linadaiwa kutaifishwa na Jerry na kuwasababishia wananchi usumbufu na kukosa huduma ya soko karibu na makazi yao kama walivyokuwa wamelitenga eneo hilo.

Hiyo habari ya ofisi ya ccm haina maslahi yoyote kwa wananchi wa Gongolamboto. Na kama cuf mmefikia hatua ya kupigania ujenzi wa ofisi ya ccm basi ni dhahiri kuwa mmepoteza muelekeo.
 
Wanachama wote wa cuf leo kuna mkutano mkubwa hapa gongolamboto mwisho mahali alipozaliwa, na kukua na mpaka ss anakaa huku, meya wa ilala, lengo ni kumwaga uzahifu wa meya huyu ktk kutelekeza sela za ccm. Kwan ameshindwa kabisa.mfano alihaidi kujenga ofisi za ccm huku mpaka leo hajajenga na eneo husika kulikuwa na ofisi ndogo za chama amezibomoa mda mrefu lkn ameshindwa kbisa kujenga izo ofisi. Pili amebomoa soko la g/kwalala lkn ameshindwa kulijenga lenye kiwango kama la zaman. Huku kwetu tunamuita mbomohaji asiyejua kujenga.



Lakini Usiniambie yakuwa Hakutekeleza SERA ZA CCM za kujenga OFISI aliyoahidi ya CCM; CUF wanafanya MKUTANO MKUBWA kumuondoa kwenye MADARAKA yake ya UMEYA wa ILALA????

Sasa hapo ina Maana CUF inajaribu kutekeleza IMANI za CCM ndani ya CCM kwa Manufaa ya CCM...

Sasa Tutakuwa tuko DUNIA gani ya kisiasa? OH NAONA JOIN DAE yako ni APRIL 1st... IS IT APRIL FOOL JOKE???
 
Back
Top Bottom