Chadema waliangalia urais zaidi kuliko ubunge ndio maana wakakubali kuungana lakini kama wangetaka wabunge tu nadhani wangevuna wengi zaidi.
Mfano Jimbo la Segerea nilikuwa ni la Chadema mapema asubuhi lakini ugimvi Wa cuf ukapelekea kuachiwa jimbo na matokeo yake wale waliokuwa wanahudhuria mikutano ndio walikumbuka kwamba ni cuf lakini wengine wote walijua ni cdm tu mwishiwe wamempitisha mgombea Wa ccm kirahisi kabisa
Mfano Jimbo la Segerea nilikuwa ni la Chadema mapema asubuhi lakini ugimvi Wa cuf ukapelekea kuachiwa jimbo na matokeo yake wale waliokuwa wanahudhuria mikutano ndio walikumbuka kwamba ni cuf lakini wengine wote walijua ni cdm tu mwishiwe wamempitisha mgombea Wa ccm kirahisi kabisa