Babu Kijana
JF-Expert Member
- Jan 24, 2013
- 589
- 278
Katika UKAWA CUF wamedhihirisha kuwa bado wapo ngangari kutoyumba kufanya mabadiliko, huku bara wamejitahidi kuchukua majimbo mengi kwa uwiano na walivyogombea ndani ya UKAWA.
Nafikiri 2020 waongezewe idadi kubwa ya majimbo. CDM wamejitahidi pia lakini na tofauti ya matarajio ya wengi hasa kwa kupoteza majimbo mengi hususani kanda ya ziwa.
UKAWA tujipange kuangalia 2020.
Nafikiri 2020 waongezewe idadi kubwa ya majimbo. CDM wamejitahidi pia lakini na tofauti ya matarajio ya wengi hasa kwa kupoteza majimbo mengi hususani kanda ya ziwa.
UKAWA tujipange kuangalia 2020.