BAADHI YA MAMBO ALIYOPPIGANIA LIPUMBA kama kodi ya kichwa ifutwe ambayo ilifutwa na mkapa mwaka 1998,elimu bure mpaka chuo kikuuu ccm wameiga mpaka kidato cha nne lakini wameshindwa kuboresha sababu sera si yao,ni wakati wa kuwapisha wenye sera zao kutekeleza, kama sera ya katiba mpya wameidaka wanashindwa kutekeleza