CUF ni mnofu mtamu kwa CHADEMA

Mwanzi1

JF-Expert Member
Sep 19, 2016
6,000
4,586
….lakini Chadema ni nini kwa CUF? Sio jambo la ajabu au la kujificha kwamba CUF ya Maalim Seif ina uhusiano wa karibu na Chadema. Uhusiano huu ni uhusiano wa mkubwa na mdogo, nikimaanisha Chadema ni chama kikubwa kwa CUF ni chama kidogo. Chadema ina wanachama wengi zaidi ya CUF, ina madiwani wengi, wabunge wengi, meya wengi hata majimbo mengi.

Nikichukulia mfano wa wanyama walio kwenye mbuga zetu hapa Tanzania, utaona simba akimwona swala yeye kwake inakuwa ni neema, kwamba leo nita lala vyema, huu mnofu ni size yangu. Simba atapiga kila aina ya hesabu ili asipitwe na baraka ile. Lakini sasa, tukipinduwa sarafu upande wa pili, swala akimwona simba huwa anaona nini? Kwa haraka haraka ninaamani swala anaona hatari au kifo au vyote viwili, kazi iliyobaki kwa swala ni kutimuwa mbio mbazo hajawai kutimuwa maishani mwake.

Chadema ina mengi ya kuneemeka ikijiweka karibu na CUF, kwanza Chadema kinapata uwakilishi mkubwa kwenye maeneo ambayo ni ngome ya CUF bila hata kunyanyuwa mguu. Pili Chadema inajiweka tayari kupata wanachama wengi kama ikitokea CUF kusambaratika maana wanachama wa CUF watakuwa wameshajenga mausiano na wenzao wa Chadema. Ni rahisi kumshinda adui ukiwa ndani ya ngome kuliko nje ya ngome.

Mwaka 2010 uchaguzi mkuu nchini Uingereza ulishindwa kupata mshindi kwasababu hakuna chama kilipata kura zaidi ya asilimia hamsini. Kwa sheria ya nchi hiyo, mshindi watatu anaweza kukubalia na mshindi wa kwanza au wapili ili waunganishe kura zao pamoja namba ya wabunge wao ili kuunda serikali ya mseto. Chama cha Liberal democrat (ambacho kilichukuwa nafasi ya tatu) kikakubalina na chama cha Conservative (ambacho kilikuwa mshindi wa kwanza) waunde serikali ya mseto iliyodumu kwa muhula mmoja (2010-15). Ukumbuke conservative ni chama kikubwa na liberal democrat ni chama kidogo. Lakini uchakuzi wa mwaka 2015 wakagombea kama vyama tofauti matokeo yake Conservative wakapata ushindi mkubwa na kujiongezea majimbo mengi zaidi. Liberal democrat walianguka vibaya sana tokea wabunge 50 mpaka 10 mpaka nafani yao ya chama cha tatu ikachukuliwa na chama kingine.

Sasa CUF kama swala, wamejipanga vipi ndani ya himaya ya simba Chadema? CUF wanauwezo wa kutimuwa mbio za kufa mtu iwapo simba Chadema akiamuwa kulianzisha vanga? Huu ndio mvutamo kati ya Maalim Seif na Prof. Lipumba. Maalim yeye anataka kumsogele simba karibu na sharubu zake wakati Prof. Lipumba anahimiza tuanze mbio kabla janga halijatufikia.
 
Naona Wachambuzi wamepata siasa na si siasa kupata wachambuzi...
........Tanzania ya Fulani......
.......Utawala wangu.............
 
….lakini Chadema ni nini kwa CUF? Sio jambo la ajabu au la kujificha kwamba CUF ya Maalim Seif ina uhusiano wa karibu na Chadema. Uhusiano huu ni uhusiano wa mkubwa na mdogo, nikimaanisha Chadema ni chama kikubwa na CUF ni chama kidogo. Chadema ina wanachama wengi zaidi ya CUF, ina madiwani wengi, wabunge wengi, meya wengi hata majimbo mengi.

Nikichukulia mfano wa wanyama walio kwenye mbuga zetu hapa Tanzania, utaona simba akimwona swala yeye kwake inakuwa ni neema, kwamba leo nitalala vyema, huu mnofu ni size yangu. Simba atapiga kila aina ya hesabu ili asipitwe na baraka ile. Lakini sasa, tukipinduwa sarafu upande wa pili, swala akimwona simba huwa anaona nini? Kwa haraka haraka ninaamani swala anaona hatari au kifo au vyote viwili, kazi iliyobaki kwa swala ni kutimuwa mbio mbazo hajawai kutimuwa maishani mwake.

Chadema ina mengi ya kuneemeka ikijiweka karibu na CUF, kwanza Chadema inapata uwakilishi mkubwa kwenye maeneo ambayo ni ngome ya CUF bila hata kunyanyuwa mguu. Pili Chadema inajiweka tayari kupata wanachama wengi kama ikitokea CUF kusambaratika maana wanachama wa CUF watakuwa wamesha jenga mausiano na wenzao wa Chadema. Ni rahisi kumshinda adui ukiwa ndani ya ngome kuliko nje ya ngome.


Mwaka 2010 uchaguzi mkuu nchini Uingereza ulishindwa kupata mshindi kwasababu hakuna chama kilipata kura zaidi ya asilimia hamsini. Kwa sheria ya nchi hiyo, mshindi watatu anaweza kukubalia na mshindi wa kwanza au wapili ili waunganishe kura zao pamoja namba ya wabunge wao ili kuunda serikali ya mseto. Chama cha Liberal democrat (ambacho kilichukuwa nafasi ya tatu) kikakubalina na chama cha Conservative (ambacho kilikuwa mshindi wa kwanza) waunde serikali ya mseto iliyodumu kwa muhula mmoja (2010-15). Ukumbuke conservative ni chama kikubwa na liberal democrat ni chama kidogo. Lakini uchakuzi wa mwaka 2015 wakagombea kama vyama tofauti matokeo yake Conservative wakapata ushindi mkubwa na kujiongezea majimbo mengi zaidi. Liberal democrat walianguka vibaya sana tokea wabunge 50 mpaka 10 mpaka nafani yao ya chama cha tatu ikachukuliwa na chama kingine.


Sasa CUF kama swala, wamejipanga vipi ndani ya himaya ya simba Chadema? CUF wanauwezo wa kutimuwa mbio za kufa mtu iwapo simba Chadema akiamuwa kulianzisha vanga? Huu ndio mvutamo kati ya Maalim Seif na Prof. Lipumba. Maalim yeye anataka kumsogele simba karibu na sharubu zake wakati Prof. Lipumba anahimiza tuanzie mbio kabla janga halijatufikia.
Mbona maelezo mengi, hoja ni nini ?
 
….lakini Chadema ni nini kwa CUF? Sio jambo la ajabu au la kujificha kwamba CUF ya Maalim Seif ina uhusiano wa karibu na Chadema. Uhusiano huu ni uhusiano wa mkubwa na mdogo, nikimaanisha Chadema ni chama kikubwa na CUF ni chama kidogo. Chadema ina wanachama wengi zaidi ya CUF, ina madiwani wengi, wabunge wengi, meya wengi hata majimbo mengi.

Nikichukulia mfano wa wanyama walio kwenye mbuga zetu hapa Tanzania, utaona simba akimwona swala yeye kwake inakuwa ni neema, kwamba leo nitalala vyema, huu mnofu ni size yangu. Simba atapiga kila aina ya hesabu ili asipitwe na baraka ile. Lakini sasa, tukipinduwa sarafu upande wa pili, swala akimwona simba huwa anaona nini? Kwa haraka haraka ninaamani swala anaona hatari au kifo au vyote viwili, kazi iliyobaki kwa swala ni kutimuwa mbio mbazo hajawai kutimuwa maishani mwake.

Chadema ina mengi ya kuneemeka ikijiweka karibu na CUF, kwanza Chadema inapata uwakilishi mkubwa kwenye maeneo ambayo ni ngome ya CUF bila hata kunyanyuwa mguu. Pili Chadema inajiweka tayari kupata wanachama wengi kama ikitokea CUF kusambaratika maana wanachama wa CUF watakuwa wamesha jenga mausiano na wenzao wa Chadema. Ni rahisi kumshinda adui ukiwa ndani ya ngome kuliko nje ya ngome.


Mwaka 2010 uchaguzi mkuu nchini Uingereza ulishindwa kupata mshindi kwasababu hakuna chama kilipata kura zaidi ya asilimia hamsini. Kwa sheria ya nchi hiyo, mshindi watatu anaweza kukubalia na mshindi wa kwanza au wapili ili waunganishe kura zao pamoja namba ya wabunge wao ili kuunda serikali ya mseto. Chama cha Liberal democrat (ambacho kilichukuwa nafasi ya tatu) kikakubalina na chama cha Conservative (ambacho kilikuwa mshindi wa kwanza) waunde serikali ya mseto iliyodumu kwa muhula mmoja (2010-15). Ukumbuke conservative ni chama kikubwa na liberal democrat ni chama kidogo. Lakini uchakuzi wa mwaka 2015 wakagombea kama vyama tofauti matokeo yake Conservative wakapata ushindi mkubwa na kujiongezea majimbo mengi zaidi. Liberal democrat walianguka vibaya sana tokea wabunge 50 mpaka 10 mpaka nafani yao ya chama cha tatu ikachukuliwa na chama kingine.


Sasa CUF kama swala, wamejipanga vipi ndani ya himaya ya simba Chadema? CUF wanauwezo wa kutimuwa mbio za kufa mtu iwapo simba Chadema akiamuwa kulianzisha vanga? Huu ndio mvutamo kati ya Maalim Seif na Prof. Lipumba. Maalim yeye anataka kumsogele simba karibu na sharubu zake wakati Prof. Lipumba anahimiza tuanzie mbio kabla janga halijatufikia.

Mtamaliza theories zote lakini ni ukweli ulio wazi kuwa ccm na dola ndiyo wanaofadhili mgogoro uliopo CUF na lengo ni kusambaratisha Ukawa ili ichukue umeya Kinondoni na Ubungo hivyo mnufaika mgogoro huu ni ccm.
 
Mtamaliza theories zote lakini ni ukweli ulio wazi kuwa ccm na dola ndiyo wanaofadhili mgogoro uliopo CUF na lengo ni kusambaratisha Ukawa ili ichukue umeya Kinondoni na Ubungo hivyo mnufaika mgogoro huu ni ccm.
Sipo hapa kutete CCM, lakini kukujibu hoja yako CCM ina uwezo wa kutawala bila ya CUF au Chadema kuwepo kwenye ngome ya siasa TZ. Wamefanya hivyo kwa zaidi ya miaka thelathini.
 
SIASA BANA MI NAKUMBUKA MIAKA 10 CHADEMA KATIKA BUNGE LILILOPITA WALIVYOUNDA KAMBI RASMI YA UPINZANI

WALIWABAGUAGA CUF KWA KUWAITA CCM B, MARA CUF IMEOLEWA NA CCM LEO ETI CHADEMA WANAJIFANYA WANA UCHUNGU NA CUF ,
 
SIASA BANA MI NAKUMBUKA MIAKA 10 CHADEMA KATIKA BUNGE LILILOPITA WALIVYOUNDA KAMBI RASMI YA UPINZANI

WALIWABAGUAGA CUF KWA KUWAITA CCM B, MARA CUF IMEOLEWA NA CCM LEO ETI CHADEMA WANAJIFANYA WANA UCHUNGU NA CUF ,

Chadema hawana hata mshipa wa aibu ,hio la CUF kuitwa CCM B ,mbona dogo pitia MATAMKO YA WATU HAWA ,TUNDULISU , MBOWE ,LEMA ,MSIGWA, MNYIKA ,lakini nawalaumu zaidi wanachama wao kwa kuwa kama ,wasiojielewa
 
Chadema hawana hata mshipa wa aibu ,hio la CUF kuitwa CCM B ,mbona dogo pitia MATAMKO YA WATU HAWA
,TUNDULISU , MBOWE ,LEMA ,MSIGWA, MNYIKA ,lakini
nawalaumu zaidi wanachama wao kwa kuwa kama nyumbu
,wasiojielewa

Lisuu na lema ilikuwaga enzi zile zamani bana sasa siku hizi kimya sana
 
SIASA BANA MI NAKUMBUKA MIAKA 10 CHADEMA KATIKA BUNGE LILILOPITA WALIVYOUNDA KAMBI RASMI YA UPINZANI

WALIWABAGUAGA CUF KWA KUWAITA CCM B, MARA CUF IMEOLEWA NA CCM LEO ETI CHADEMA WANAJIFANYA WANA UCHUNGU NA CUF ,
Akhh...hawana uchungu wowote,wazee wa maigizo ikulu kwao ni ndoto.
 
Sipo hapa kutete CCM, lakini kukujibu hoja yako CCM ina uwezo wa kutawala bila ya CUF au Chadema kuwepo kwenye ngome ya siasa TZ. Wamefanya hivyo kwa zaidi ya miaka thelathini.


Malizia tu "kwa msaada wa vyombo vya dola hasa polisi", ccm bila mabavu ya dola haina chake.
 
Mi naona kuna mtu nyuma ya pazia katika sakata hili, ana uchu wa kugombea urais 2020 kwa mwavuli wa ukawa. Uwepo wa Prof Lipumba ndani ya Cuf/ukawa kunatoa fursa finyu ya kuruhusiwa kugombea. Hivyo basi ni Lazima Lipumba aondolewe Cuf kwa gharama yoyote ile. Ni aina fulani ya mahesabu yasio muogopa hata Mungu.
 
Back
Top Bottom