CUF ni chama cha upinzani?

Dik

JF-Expert Member
Nov 15, 2011
1,204
416
Chma cha CUF ni chama kilchotokea kuw maarufu sn tz! Hivi sasa tumeshuhudia unafiki mkubwa wa wabunge wake kukishambulia chama kikuu cha upinzan cdm!prof lipumba amepotea kisiasa,hata hasikiki tena.ni chama kilchokuw kinadai pia maandamano kutetea maslah y taifa.

Je watz wameshapata haki zao? Au maslahi yalikuwa ya kina Sharif Hamad! Je bado ni chama cha upinzani Au cha kinafiki?

Niendelee kubaki CUF?
 
Chma cha CUF ni chama kilchotokea kuw maarufu sn tz!hv sasa tumeshuhudia unafiki mkubwa wa wabunge wake kukishambulia chama kikuu cha upinzan cdm!prof lipumba amepotea kisiasa,hata hasikiki tena.ni chama kilchokuw kinadai pia maandamano kutetea maslah y taifa.je watz wameshapata haki zao?au maslah ylkw ya kina sharif hamad!je bado ni chama cha upinzani Au cha kinafiki?niendelee kubaki CUF?wana jf naomba kuwasilisha

hebu nipe definition yako ya chama cha upinzani ..??

je kutokubaliana na CDM kina wafanya wasiwe wapinzani ...??

ama true defn. yako ya upinzani ni kukosoa kila lile linalosemwa na kufanya na serikali ....? CUF ni chama makini ndio maana wakakubali mseto wa serikali ili kuepusha vurugu kule znz kama za miaka iliyopita kwani zilikuwa hazina tija yoyote zaidi ya VIFO tu....




 
Chma cha CUF ni chama kilchotokea kuw maarufu sn tz! Hivi sasa tumeshuhudia unafiki mkubwa wa wabunge wake kukishambulia chama kikuu cha upinzan cdm!prof lipumba amepotea kisiasa,hata hasikiki tena.ni chama kilchokuw kinadai pia maandamano kutetea maslah y taifa.

Je watz wameshapata haki zao? Au maslahi yalikuwa ya kina Sharif Hamad! Je bado ni chama cha upinzani Au cha kinafiki?

Niendelee kubaki CUF?

Wachumba wa CCM hao!
 
Chma cha CUF ni chama kilchotokea kuw maarufu sn tz!hv sasa tumeshuhudia unafiki mkubwa wa wabunge wake kukishambulia chama kikuu cha upinzan cdm!prof lipumba amepotea kisiasa,hata hasikiki tena.ni chama kilchokuw kinadai pia maandamano kutetea maslah y taifa.je watz wameshapata haki zao?au maslah ylkw ya kina sharif hamad!je bado ni chama cha upinzani Au cha kinafiki?niendelee kubaki CUF?wana jf naomba kuwasilisha

Mkuu heshima. Hapo kwenye red; Inategemea huo umaarufu ulikuwa wa nini, aina gani, na ulipatikanaje? Umaarufu wa kutetea wananchi wote bila kujali itikadi, mtazamo, au mafungamano? Umaarufu kwa hoja yakinifu na jadidi? Umaarufu through violence na kashfa kwa wananchi "wengine" wasiofungamana na itikadi fulani fulani? Au ni umaarufu wa aina gani?

Akihojiwa na BBC, Katibu Mkuu alishawahi kuulizwa inakuwaje wafuasi wa CUF ni watu wa aina fulani fulani tu? Naye wala hakupinga bali alijibu, kama watu wa "aina fulani" pekee wameamua kuwa wafuasi wa CUF yeye afanyeje?

Kumbe Maalim Seif, na viongozi wenzake bila shaka, walijua fika kuwa CUF ilikuwa "inapendwa" na watu fulani na kwa wakati huo ndio waliokifanya chama kuwa "maarufu"; umaarufu wa aina hii ni wa kitambo tu, wala haudumu. Hivyo, usishangae kwa nini CUF sio maarufu kwa wakati huu!

Sasa suala lisilojibiwa au linalohitaji utafiti ni hili: ni kwani wafuasi wa CUF ni watu wa aina fulani tu? Jibu hili litamsaidia, si Maalim Seif tu, bali umma wote wa watanzania.
 
sio kweli bwana, wacha kuupotosha uma na kukidhalilisha chama cha CUF.

CUF NI MKE HALALI WA NDOA WA CCM

Ukitumia neno mke na mume kwenye siasa utakosea mkuu..

Kila chama kuna siku itafika wananchi watawalazimisha kushirikiana..(kuoana)???

Iko siku hata si nyingi chadema itakubali kuolewa (kuoana) either na ccm au CUF sasa sijui siku hiyo utasemaje?

Tuwe waangalifu na maneno hayo ya kijinga na kishabiki
 
Mkuu heshima. Hapo kwenye red; Inategemea huo umaarufu ulikuwa wa nini, aina gani, na ulipatikanaje? Umaarufu wa kutetea wananchi wote bila kujali itikadi, mtazamo, au mafungamano? Umaarufu kwa hoja yakinifu na jadidi? Umaarufu through violence na kashfa kwa wananchi "wengine" wasiofungamana na itikadi fulani fulani? Au ni umaarufu wa aina gani?

Akihojiwa na BBC, Katibu Mkuu alishawahi kuulizwa inakuwaje wafuasi wa CUF ni watu wa aina fulani fulani tu? Naye wala hakupinga bali alijibu, kama watu wa "aina fulani" pekee wameamua kuwa wafuasi wa CUF yeye afanyeje?

Kumbe Maalim Seif, na viongozi wenzake bila shaka, walijua fika kuwa CUF ilikuwa "inapendwa" na watu fulani na kwa wakati huo ndio waliokifanya chama kuwa "maarufu"; umaarufu wa aina hii ni wa kitambo tu, wala haudumu. Hivyo, usishangae kwa nini CUF sio maarufu kwa wakati huu!

Sasa suala lisilojibiwa au linalohitaji utafiti ni hili: ni kwani wafuasi wa CUF ni watu wa aina fulani tu? Jibu hili litamsaidia, si Maalim Seif tu, bali umma wote wa watanzania.

mimi nina uhakika wafuasi wengi wa chadema ni aina fulani na kanda fulani

Na viongozi wengi wa chadema wamesoma seminary za kikatoliki

Sasa chadema ifanyeje????
 
sio kweli bwana, wacha kuupotosha uma na kukidhalilisha chama cha CUF.

CUF NI MKE HALALI WA NDOA WA CCM
umenifurahisha sana mkuu jamaa anapotosha wakati watu wanavyeti kabisaa vya ndoa!
 
Ukitumia neno mke na mume kwenye siasa utakosea mkuu..

Kila chama kuna siku itafika wananchi watawalazimisha kushirikiana..(kuoana)???

Iko siku hata si nyingi chadema itakubali kuolewa (kuoana) either na ccm au CUF sasa sijui siku hiyo utasemaje?

Tuwe waangalifu na maneno hayo ya kijinga na kishabiki

CDM kikikubali ndoa itakuwa kipindi hicho but kwa sasa kipo single, na CUF ipo kwenye ndoa tu wala usikimbie!
 
mimi nina uhakika wafuasi wengi wa chadema ni aina fulani na kanda fulani

Na viongozi wengi wa chadema wamesoma seminary za kikatoliki

Sasa chadema ifanyeje????

Exactly Mkuu! Naheshimu mawazo yako kwa 100%. Hakika kama ndivyo CHADEMA ilivyo, kama ilivyokuwa kwa CUF, nayo itakufa kifo cha kawaida siku si nyingi. Kumbuka jambo haliwi kweli kwa kuwa tu fulani kasema; bali uhalisia wenyewe ni shuhuda mzuri zaidi. Kusema tu chama fulani, kwa mfano ni cha kikabila, kidini, n.k. yeyote aweza kuropoka kwa kuwa ana mdomo na ni haki yake kusema. Kama CHADEMA ni kweli kiko hivyo basi wananchi walio wengi wataamua bila kuhitaji "kujazwa ujinga" na kundi fulani la watu iwe ni wanasiasa au viongozi fulani wachache katika jamii.

Hebu nikuulize, hivi CCM inavyotajwa kuwa chama cha kifisadi ni cha kifisadi kwa kuwa baadhi ya watu wameropoka hivyo au kwa kuwa kwa uhalisia kiko hivyo na wananchi walio wengi wanaona na kushuhudia hivyo na pia kinajihukumu chenyewe kwa matendo yake? Changanya na zako.
 
CDM kikikubali ndoa itakuwa kipindi hicho but kwa sasa kipo single, na CUF ipo kwenye ndoa tu wala usikimbie!

Ndio maana nasema kishabiki na single OK

Lakini kisiasa muda si mrefu chadema wanaweza kuolewa na chama chochote popote..either kwa kulazimishwa na wananchi kama walivyofanywa CUF na CCM zanzibar (hakuna anayependa hayo kati ya ccm na CUF lakini inabidi)

CDM kwa sasa mnafanya ushabiki tu lakini nakwambia MTAOMBA KUOLEWA na siku hiyo kama JF ipo ntawakumbusha lol..
 
Exactly Mkuu! Naheshimu mawazo yako kwa 100%. Hakika kama ndivyo CHADEMA ilivyo, kama ilivyokuwa kwa CUF, nayo itakufa kifo cha kawaida siku si nyingi. Kumbuka jambo haliwi kweli kwa kuwa tu fulani kasema; bali uhalisia wenyewe ni shuhuda mzuri zaidi. Kusema tu chama fulani, kwa mfano ni cha kikabila, kidini, n.k. yeyote aweza kuropoka kwa kuwa ana mdomo na ni haki yake kusema. Kama CHADEMA ni kweli kiko hivyo basi wananchi walio wengi wataamua bila kuhitaji "kujazwa ujinga" na kundi fulani la watu iwe ni wanasiasa au viongozi fulani wachache katika jamii.

Hebu nikuulize, hivi CCM inavyotajwa kuwa chama cha kifisadi ni cha kifisadi kwa kuwa baadhi ya watu wameropoka hivyo au kwa kuwa kwa uhalisia kiko hivyo na wananchi walio wengi wanaona na kushuhudia hivyo na pia kinajihukumu chenyewe kwa matendo yake? Changanya na zako.

CCM ni mafisadi huo ndio ukweli kwasababu wanachama wake wengi ni viongozi na ni wanaongoza vibaya (ufisadi) na kusababisha hasara kwa taifa..

Hilo mbona hakuna anayebisha isipokuwa kuna reservations nyingi sana ukiangalia ccm na vyama vingine kwa mambo yanayohusu wananchi na taifa..sijaona mbadala zaidi ya vyama vinavyoshabikia makundi (fulani) na siyo umoja wa kitaifa..
 
mimi nina uhakika wafuasi wengi wa chadema ni aina fulani na kanda fulani

Na viongozi wengi wa chadema wamesoma seminary za kikatoliki

Sasa chadema ifanyeje????

kwa mtu mwenye fikra nyepesi kama yako hiyo ni sahihi kabisa,ila kwa mtu mwenye uwezo hata kidogo tu kifikra si sahihi bali ni uvivu wa kufikiri,viongozi gani wa cdm waliosoma seminary zaid ya dr slaa (phd)?na unaposema chama ni cha kanda fulani,ina maana mbeya,iringa,kigoma,mwanza,musoma zote ni kanda moja?usiwe mvivu wa kufikiri
 
CCM ni mafisadi huo ndio ukweli kwasababu wanachama wake wengi ni viongozi na ni wanaongoza vibaya (ufisadi) na kusababisha hasara kwa taifa..

Hilo mbona hakuna anayebisha isipokuwa kuna reservations nyingi sana ukiangalia ccm na vyama vingine kwa mambo yanayohusu wananchi na taifa..sijaona mbadala zaidi ya vyama vinavyoshabikia makundi (fulani) na siyo umoja wa kitaifa..

Safi! Umeanza kufunguka sasa. Kama ilivyo kwa ufisadi wa CCM, hebu tuwaachie wanananchi waamue wenyewe kuhusu "ukabila" na "udini" wa Chadema badala ya taasisi nyingine kama Bakwatwa kufanya kazi zisizokuwa zao au zilizo kinyume na malengo ya kuanzishwa kwake.
 
Safi! Umeanza kufunguka sasa. Kama ilivyo kwa ufisadi wa CCM, hebu tuwaachie wanananchi waamue wenyewe kuhusu "ukabila" na "udini" wa Chadema badala ya taasisi nyingine kama Bakwatwa kufanya kazi zisizokuwa zao au zilizo kinyume na malengo ya kuanzishwa kwake.

Exactly, kwanini isiwaachia CUF na wananchi wa zanzibar na watanganyika waamue kama ni wapinzani au la? wameolewa au la?

Taasisi kama TEC na maaskofu vilevile waache kutoa waraka kuwaelekeza waumini wapige kura mgombea fulani..hapo ndio wananchi wataamua kwa haki..bila ...
 
Exactly, kwanini isiwaachia CUF na wananchi wa zanzibar na watanganyika waamue kama ni wapinzani au la? wameolewa au la?

Taasisi kama TEC na maaskofu vilevile waache kutoa waraka kuwaelekeza waumini wapige kura mgombea fulani..hapo ndio wananchi wataamua kwa haki..bila ...

Nilikuwa sikubaliani na anayesema wewe ni nvivu wa kufikiri ila nimeani ni kweli, walaka uliosema waumini wamchague fulani ulitolewa lini? Na ulitolewa na taasisi gani? Na huyo fulani ni nani?
 
CDM kikikubali ndoa itakuwa kipindi hicho but kwa sasa kipo single, na CUF ipo kwenye ndoa tu wala usikimbie!
Mkuu nadhani ingekuwa sahihi kama ungeongezea kwamba; Njaa ya Seif na Vibaraka wake ndiyo iliyochangia Cuf ku-Cameroniwa na ccm. Baada ya kuwekwa ndani sasa hivi kimyaaaaaaaaaaa.
 
Back
Top Bottom