Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 52,190
- 162,698
Hivi CUF bado mnaona kuna uhalali wa kuendelea na serikali ya umoja wa kitaifa huko Zanzibar?Hii nchi bila watu kufanya maamuzi magumu hatutafanikiwa.
Nakutumia namba ya Maalim sasa hivi umfikishie ushauri huu maridhawa!
Kumbukeni kwamba SUK ni jambo la kikatiba na siyo swala la vyama so viongozi makini hawakurupuki hutafakari kwanza kwani wananchi ndio msingi wenyewe
Kumbukeni kwamba SUK ni jambo la kikatiba na siyo swala la vyama so viongozi makini hawakurupuki hutafakari kwanza kwani wananchi ndio msingi wenyewe
Hivi CUF bado mnaona kuna uhalali wa kuendelea na serikali ya umoja wa kitaifa huko Zanzibar?Hii nchi bila watu kufanya maamuzi magumu hatutafanikiwa.
Najua ni jambo la kikatiba lakini haina maana unalazimika kushirikiana na watu wanaosaliti umma.
hivi cuf bado mnaona kuna uhalali wa kuendelea na serikali ya umoja wa kitaifa huko zanzibar?hii nchi bila watu kufanya maamuzi magumu hatutafanikiwa.