CUF: Lolote liwalo Igunga..!

mchemsho

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2011
Posts
3,230
Reaction score
935
Nimeshtuka sana baada ya kuona habari tbc1 kuhusu harakati za vyama vya siasa kupoka jimbo la igunga kwenye uchaguzi mdogo ujao. CcM wanaita OPERESHENI TETEA IGUNGA, wakati Chadema ni OPERATION CHUKUA IGUNGA..cuf ndio wamewapoteza wote wenyewe wanaita OPERATION LOLOTE LIWALO IGUNGA..! ina maana cuf hawana cha kupoteza igunga?
 
yaani cuf wapo tayari kwa lolote kwa mapambano yaani ngowa itakavyopigwa ndivyo itakavyochezwa.
 
Yaani wapo kwa ajili ya kuisaidia CCM hata kama watalaumiwa potelea mbali lolote liwalo wao wataisaidia CCM tu!
 
CUF inakubalika kule.. hilo halina ubishi... akienda lipumba kule anafunga kazi ...
 
OPERESHENI TETEA IGUNGA -CCM (Tunataka tena njamani hamoni maendeleo)
OPERATION CHUKUA IGUNGA-CDM (Tupeni nasi, tuwaletee maendeleo ya kweli)
OPERATION LOLOTE LIWALO IGUNGA-CUF (Hata tukikosa hakuna shaka, mladi tumeshiriki uchaguzi)


Tafsiri yangu.
 

Jamaa wa tafsiri yangu sijui yuko wapi
 
hiki chadema si ndio kile chama kinachofanya kampeni makanisani? hivi na igunga watafanya hivyo, lakini msajili atakuwepo huko wakirudia tena atakifuta.
 
hiki chadema si ndio kile chama kinachofanya kampeni makanisani? hivi na igunga watafanya hivyo, lakini msajili atakuwepo huko wakirudia tena atakifuta.
Ukweli unajua kwamba unaongopa,U know Kanisani hakuna masharti yeyote anaweza ingia Mwislam,mpagani n.k.Ila Msikitini kama Huna Majini na Kanzu huwezi,Nachotaka kusema Kanisani hakuna Siri yoyote pale.Ndio maana Makanisa wakati wa Kampeni yalikuwa yanajaa sana kwa sababu mlikuwa mnakuja kuona kama zitapigwa kampeni!!Lakini Nyie Vikao Vyenu Mnavyo kaaga alfajiri,Usiku huwa manaongea nini?Msikitini si ndio mnajadili namna ya kuandamana na namna ya kumpigia kura muislam?Endeleeni kupiga kampeni tu misikitini,maana nasikia baba Liz kasema hatamwachia nchi kafiri sio,sindivyomlivyokubaliana Msikitini?Kesho vp Mnaandaman tena kwa hii komenti?
 
anaetunga motto za CUF hawezi kuwa mwanasiasa...inabidi akafundishe mgambo.
ndio yale yale ya ngangari mwishoe wakalegea wenyewe.
 
<br />
<br />
misikitini hakuna siri ndio maana wameweka vipaza sauti juu msikiti kila mtu asikie, tofauti na kanisani kila mtu lazima awe na kadi na namba vinginevyo huingii, haya ya makampeni makanisani mnayasema wenyewe mitaani, mlikesha kuhakikisha babu slaa anaingia ikulu, nendeni tena mkakeshe igunga!
 
Lolote liwalo maana yake kuna JIHAD! Si unajua tena Chama Cha Wananchi wavaa kanzu mwezi huu ndio mwezi wa haki kwao? Msishangae kusikia kuna majambia elfu kumi yameingizwa igunga kwenye mifuko ya tende na halua
 
Duh kweli cuf kiboko, wakat wenzao wauzaj wa nishat ya mafuta wakigoma kutoa huduma wao wanafanya mgomo wa kufikiri. Wakishika nchi hawa.
<br />
<br />
Dah! Nimecheka sana.
 
hivi mnafikiri chadema mtaingia ikulu kwa mgongo wa udini? msahau kabisa
 
<br />
<br />
Wewe ndio kafiri! au?
 
Wacheni ushabiki wa vyama,CUF inakubalika sana igunga,viongozi wakuu wa cuf na chadema wakae wakubaliane kua wapinzani wamwachie cuf pekee hapo uhakika upinzani utashinda,ila kama nitamaa zafisi nimia kwamia ccm watashinda, kumbukeni ya tarime kura za ccm walizoshinda ubunge nikidogo kuliko za cuf na chadema,inamana wapinzani wangeweka mgombea 1 tarime wangeshinda.na igunga yatawakuta kama ya tarime.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…