Waterbender JF-Expert Member Joined Oct 2, 2018 Posts 7,913 Reaction score 10,719 May 2, 2023 #61 ronaldo habi said: Picha ka kusindikizia uziiView attachment 2606592 Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... body laini sana, japo ziliwa kuitwa sukari ya warembo
ronaldo habi said: Picha ka kusindikizia uziiView attachment 2606592 Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... body laini sana, japo ziliwa kuitwa sukari ya warembo
feyzal JF-Expert Member Joined Apr 20, 2016 Posts 8,535 Reaction score 17,218 May 2, 2023 #62 Zee la hovyo said: Ndio mkuu..... hata hizo crown zilizojazana huko town huku zipo za kuhesabia tu, huku watu wanatembelea Carina na Corolla na gx 100 Click to expand... Kwa Njombe nakubali ila ule mkoa bwana nimekaa pale 2 years ila ukitoa hali ya hewa na misitu hakuna nilichokikubali.
Zee la hovyo said: Ndio mkuu..... hata hizo crown zilizojazana huko town huku zipo za kuhesabia tu, huku watu wanatembelea Carina na Corolla na gx 100 Click to expand... Kwa Njombe nakubali ila ule mkoa bwana nimekaa pale 2 years ila ukitoa hali ya hewa na misitu hakuna nilichokikubali.
National Anthem JF-Expert Member Joined Aug 9, 2022 Posts 19,176 Reaction score 56,199 May 2, 2023 #63 JituMirabaMinne said: Kila la heri mkuu, Machuma yenye maengine makubwa hata mimi nayaelewa sana. Click to expand... Hayo Ndio magari sasa, sio unakimbia vitu vya mafuta kama kina Depal
JituMirabaMinne said: Kila la heri mkuu, Machuma yenye maengine makubwa hata mimi nayaelewa sana. Click to expand... Hayo Ndio magari sasa, sio unakimbia vitu vya mafuta kama kina Depal
National Anthem JF-Expert Member Joined Aug 9, 2022 Posts 19,176 Reaction score 56,199 May 2, 2023 #64 Zee la hovyo said: mkuu unamiliki Sheli nini Click to expand... Hiyo ndio chuma ya kwendaaa sasa
National Anthem JF-Expert Member Joined Aug 9, 2022 Posts 19,176 Reaction score 56,199 May 2, 2023 #65 wa kupuliza said: Tena apate cherysler 300c yenye hemi engine,hapo saluti nyingi sana kwake. Click to expand... Mtakuja mfariji badae hapa ππ
wa kupuliza said: Tena apate cherysler 300c yenye hemi engine,hapo saluti nyingi sana kwake. Click to expand... Mtakuja mfariji badae hapa ππ
Zee la hovyo Senior Member Joined Apr 25, 2023 Posts 115 Reaction score 390 May 2, 2023 #66 feyzal said: Kwa Njombe nakubali ila ule mkoa bwana nimekaa pale 2 years ila ukitoa hali ya hewa na misitu hakuna nilichokikubali. Click to expand... kweli mkuu, ila ni mkoa ambao gharama za maisha ziko chini sana
feyzal said: Kwa Njombe nakubali ila ule mkoa bwana nimekaa pale 2 years ila ukitoa hali ya hewa na misitu hakuna nilichokikubali. Click to expand... kweli mkuu, ila ni mkoa ambao gharama za maisha ziko chini sana
BinSalum7 JF-Expert Member Joined Jan 26, 2019 Posts 1,766 Reaction score 3,926 May 2, 2023 #67 JituMirabaMinne said: Kila la heri mkuu, Machuma yenye maengine makubwa hata mimi nayaelewa sana. Click to expand... Sana mkuu, kifua kikubwa ndio mpango mzima.
JituMirabaMinne said: Kila la heri mkuu, Machuma yenye maengine makubwa hata mimi nayaelewa sana. Click to expand... Sana mkuu, kifua kikubwa ndio mpango mzima.
feyzal JF-Expert Member Joined Apr 20, 2016 Posts 8,535 Reaction score 17,218 May 2, 2023 #68 Zee la hovyo said: kweli mkuu, ila ni mkoa ambao gharama za maisha ziko chini sana Click to expand... Mbona mgahawani vyakula bei na kibaya
Zee la hovyo said: kweli mkuu, ila ni mkoa ambao gharama za maisha ziko chini sana Click to expand... Mbona mgahawani vyakula bei na kibaya
wa kupuliza JF-Expert Member Joined Jun 15, 2012 Posts 15,210 Reaction score 37,829 May 2, 2023 #69 National Anthem said: Mtakuja mfariji badae hapa ππ Click to expand... ππ Tutamwambia inatumia umeme mwingi so asijali khs wese π
National Anthem said: Mtakuja mfariji badae hapa ππ Click to expand... ππ Tutamwambia inatumia umeme mwingi so asijali khs wese π
Jemedaree JF-Expert Member Joined Nov 22, 2021 Posts 677 Reaction score 2,072 May 3, 2023 #70 National Anthem said: Mtakuja mfariji badae hapa Click to expand... Sisi tutampa tu namba ya sossy_magari
National Anthem said: Mtakuja mfariji badae hapa Click to expand... Sisi tutampa tu namba ya sossy_magari
Jemedaree JF-Expert Member Joined Nov 22, 2021 Posts 677 Reaction score 2,072 May 3, 2023 #71 Nakumbuka kuna Jagua XF moja imezunguka Kwa madalali wote mjini apa mpk wa mwanza lakini imeshindwa kutokaβ¦. Mara ya mwisho nmeona na magari_mtaani kaipost lakini wapi ilianza 25m mpaka 19m watu kama hawaioni
Nakumbuka kuna Jagua XF moja imezunguka Kwa madalali wote mjini apa mpk wa mwanza lakini imeshindwa kutokaβ¦. Mara ya mwisho nmeona na magari_mtaani kaipost lakini wapi ilianza 25m mpaka 19m watu kama hawaioni
ferg JF-Expert Member Joined Mar 8, 2015 Posts 1,329 Reaction score 1,818 May 3, 2023 #72 Zee la hovyo said: Naijua hiyo gari mzee nimeitumia Sana, nikaja kuiuza baada ya kuona kila mtu anayo, mi huwa napenda Sana uniqueness..... Click to expand... Itakuwa ulinunua Jaguar
Zee la hovyo said: Naijua hiyo gari mzee nimeitumia Sana, nikaja kuiuza baada ya kuona kila mtu anayo, mi huwa napenda Sana uniqueness..... Click to expand... Itakuwa ulinunua Jaguar
Bugucha JF-Expert Member Joined Jan 3, 2020 Posts 3,566 Reaction score 14,624 May 14, 2023 #73 Salam wakuu,naomba kuuliza,Kuna sehemu niliona Crown Athlete (used) inauzwa Tsh.8,000,000, number D. Je,nichukue,au unakuta haitengenezeki ,au ndo bei yake baada imeanza kushuka kama Brevis?π
Salam wakuu,naomba kuuliza,Kuna sehemu niliona Crown Athlete (used) inauzwa Tsh.8,000,000, number D. Je,nichukue,au unakuta haitengenezeki ,au ndo bei yake baada imeanza kushuka kama Brevis?π
Bugucha JF-Expert Member Joined Jan 3, 2020 Posts 3,566 Reaction score 14,624 May 14, 2023 #74 National Anthem said: Mtaalamu soon nitakucheki nipate Brevis moja matata hasa lile la cc 3000 Click to expand... HIlo jini inapelekea wapi mkuu?ππ
National Anthem said: Mtaalamu soon nitakucheki nipate Brevis moja matata hasa lile la cc 3000 Click to expand... HIlo jini inapelekea wapi mkuu?ππ