Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,195
mchezo ulianza kwa vyombo vya habari kuripoti.Kisha akaja waziri wa mambo ya ndani.Kisha akaja kingozi wa vijana wa ccm.Taarifa zilikuwa risasi ndizo zilitumika, hadi kwa majeruhi.na waandishi waliokuwepo walindika na kuhoji watu waliokuwepo pale.
Hadi hapo watuhumiwa walikuwa ni hawa na suala halikuwa ni silaha gani imetumika:=
1.CCM
2Polisi.
3.CDM.
Kisha polisi wanakuja na tangazo lao.Kuwa kifo kilisababishwa na kitu chenye ncha kali.Kama attempt ya kubadili mitazamo na guessworks za raia,
1.CCM.
2.CDM.
Wakati polisi wanajaribu ondoa uwepo wa risasi,ili baadaye wajiondoe katika mauaji na baadaya kuwabana CDM, swali linakuja.Je wataweza jitoa salama?Na nani anafanikiwa jiweka in perfect place.
Hadi hapo watuhumiwa walikuwa ni hawa na suala halikuwa ni silaha gani imetumika:=
1.CCM
2Polisi.
3.CDM.
Kisha polisi wanakuja na tangazo lao.Kuwa kifo kilisababishwa na kitu chenye ncha kali.Kama attempt ya kubadili mitazamo na guessworks za raia,
1.CCM.
2.CDM.
Wakati polisi wanajaribu ondoa uwepo wa risasi,ili baadaye wajiondoe katika mauaji na baadaya kuwabana CDM, swali linakuja.Je wataweza jitoa salama?Na nani anafanikiwa jiweka in perfect place.