Mkuu bavicha wako kwenye makongamano ya Katiba mpyaAibu kwa Bavicha!
Wakina nani ?hawa jamaa ni watu wa ajabu sana.
hasa huyo shangazi yao kama hachomi mmea sijui.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram benk ya CRDB imekanusha juu ya uvumi kuwa Tawi lake la CRDB wilaya ya Chato limefungwa na kugeuzwa Club!
CRDB imefafanua kuwa si ofisi zao za zaman wala mpya na katu hawawezi kufanya hivo.
View attachment 1976533View attachment 1976534
Nilijua ile itakuwa photo shop.Kupitia ukurasa wake wa Instagram benk ya CRDB imekanusha juu ya uvumi kuwa Tawi lake la CRDB wilaya ya Chato limefungwa na kugeuzwa Club!
CRDB imefafanua kuwa si ofisi zao za zaman wala mpya na katu hawawezi kufanya hivo.
View attachment 1976533View attachment 1976534
Joyce MkuyaWakina nani ?