Wadau mimi ni mfanyakazi, nimejitahidi ndani ya miezi 6 kazini kuweka akiba ya sh 1,000,000/= sasa nimepanga mwaka ujao niwekeze hicho kiasi kwa kuanzia kwenye soko la fedha.
Nimeona matangazo ya kuwa makampuni ya simu yatauza hisa January 2016 na pia nimesikia CRDB wana fixed deposit ambayo inakupa 13% kwa mwaka au kwa mwezi(sina uhakika) sasa nimevutiwa na option zote 2.
Naombeni ushauri niwekeze wapi?
Nimeona matangazo ya kuwa makampuni ya simu yatauza hisa January 2016 na pia nimesikia CRDB wana fixed deposit ambayo inakupa 13% kwa mwaka au kwa mwezi(sina uhakika) sasa nimevutiwa na option zote 2.
Naombeni ushauri niwekeze wapi?