Sio kweli,kama umeswap lain upya ndo tatzo lakin sio simu,,ss swal la kijiuliza tu ili usionekane kilaza,pale unapoanzisha huduma hii ka5ika simu yako je unawekaga namba za simu au model ya simu?
Hii sio huduma ya mkopo wa tala ndo wana utaratib huo wa kuuliza simu gan unatumia na ukibadili simu wanakuambia kbsa namba yako haiendani na namba ulioisajili mpk uib maswali tena upya.. Ila sim banking ni namba yako tu ya lain ya simu..[/QUOTE
.