MUAROBAINI ULIOKOMAA
Member
- May 4, 2013
- 91
- 25
Kama Mikopo mmesitisha tangazeni acheni kuwadanganya Wateja wenu,Mara tar15 ooh mwezi ujao mwanzoni!semeni kweli
Kama Mikopo mmesitisha tangazeni acheni kuwadanganya Wateja wenu,Mara tar15 ooh mwezi ujao mwanzoni!semeni kweli
Kama Mikopo mmesitisha tangazeni acheni kuwadanganya Wateja wenu,Mara tar15 ooh mwezi ujao mwanzoni!semeni kweli
Kama Mikopo mmesitisha tangazeni acheni kuwadanganya Wateja wenu,Mara tar15 ooh mwezi ujao mwanzoni!semeni kweli
Hata mimi nimesita ku process mkopo wangu. Maana nenda rudi wizarani imenichosha. Nasubiri hali itakapotulia. Nahisi wanasubiri waraka wa mishahara utoke,ingawa hawaongei hivyo. Nime offset mipango yangu ya kulima mpunga wa kiangazi nisubiri tu mpunga wa masika.Kama Mikopo mmesitisha tangazeni acheni kuwadanganya Wateja wenu,Mara tar15 ooh mwezi ujao mwanzoni!semeni kweli
Kivipi?Acheni kukopa mnajiabisha
Kama Mikopo mmesitisha tangazeni acheni kuwadanganya Wateja wenu,Mara tar15 ooh mwezi ujao mwanzoni!semeni kweli
Hehehehehe kaisome namba ya hisa sokoni.....Kama Mikopo mmesitisha tangazeni acheni kuwadanganya Wateja wenu,Mara tar15 ooh mwezi ujao mwanzoni!semeni kweli
Wewe ni mjinga kuliko wajinga wote na hapo ulipo hata kidato cha nne hujafika ndo maana unawaza kwa kutumia makalioCrdb ilikuwa inaendeshwa na pesa za ufisadi.Maguful ameziba mianya ya ufisadi imefilisika
Crdb mafisadi wote wamejificha huko madili yao ya ufisadi wamevunjwa benki imefilisika na vile vibranch uchwara inavyovifungua kila siku vitakufa vyote mafisadi hawana tena nafasi nchi hiiWewe ni mjinga kuliko wajinga wote na hapo ulipo hata kidato cha nne hujafika ndo maana unawaza kwa kutumia makalio
Naona kama umetumwa hv na wale jamaaa kuichafua benk pendwa Tz ya CrdbCrdb mafisadi wote wamejificha huko madili yao ya ufisadi wamevunjwa benki imefilisika na vile vibranch uchwara inavyovifungua kila siku vitakufa vyote mafisadi hawana tena nafasi nchi hii
Kwani lazima ukope. Au imeandikwa lzm ukopeshwe. Sasa hivi wanaangalia background yako sio kama zamani easy come easy goKama Mikopo mmesitisha tangazeni acheni kuwadanganya Wateja wenu,Mara tar15 ooh mwezi ujao mwanzoni!semeni kweli
benki bora Tanzania ni NMB tu.Naona kama umetumwa hv na wale jamaaa kuichafua benk pendwa Tz ya Crdb