Ajabu kuanzia Asubuhi mtandao wa CRDB Bank umekuwa ni wa kusua sua na Jioni hii wamezima ATM machine zote.Mwezi mzima wa January Shkamoo bata ilikuwa Baba Mkwe.
Kwa kuzingatia ni mwezi dume ambao una tar 45- 65 Kwa. Baadhi ya watu maana wengine walipokea mishahara nov na wengine katikati ya Dec na kwa kuzingatia holiday.
Kutokana na sababu hii niliona bora kusherehekea Kuisha kwa Mwezi dume.
Ila matarajio yametumbuka Nyongo Baada Ya ATMs kuninyima hela hivyo kulazimika kuendelea na Mfungo wa Lazima.
CRDB mtaacha lini hii tabia maana hata Holidays huwa mnazima Mashine zenu au tuanze kuweka fedha kwenye vyungu?leo mmeumiza watu wengi.
Kwa kuzingatia ni mwezi dume ambao una tar 45- 65 Kwa. Baadhi ya watu maana wengine walipokea mishahara nov na wengine katikati ya Dec na kwa kuzingatia holiday.
Kutokana na sababu hii niliona bora kusherehekea Kuisha kwa Mwezi dume.
Ila matarajio yametumbuka Nyongo Baada Ya ATMs kuninyima hela hivyo kulazimika kuendelea na Mfungo wa Lazima.
CRDB mtaacha lini hii tabia maana hata Holidays huwa mnazima Mashine zenu au tuanze kuweka fedha kwenye vyungu?leo mmeumiza watu wengi.