Waliniambia watu fulani kwamba hela ni yako mpka iwe mkononi mwako, ukiiweka benki si yako, hata ukiwashtaki ni kazi bure sababu mlisainiana contracts kabla hujafungua acc, nenda kasome tena yale masharti yauliyo sign
Haya ni sehemu ya masharti unayo saini kufungua acc nmb, soma kwa makini unambie umeelewa nini