CRDB Mbezi Luis mjitathmini

CRDB Mbezi Luis mjitathmini

The iron batterfly

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2018
Posts
1,952
Reaction score
2,527
Habari za mchana wanaJf

Leo kwenye saa 4 asubuh,nilikwenda benki ya Crdb tawi la mbezi Luis kushughulikia miamala kadhaa ya kibenki.

Nikaanzia mapokezi pale ambapo pamoja na kuwa na PC tatu za customer care,alikuwepo binti mmoja tu akitoa huduma.
Kilichofanya nilete uzi huu ni kuwa ,that girl is too dumb.Am sorry to say that.Yaani ishu ndogo tu ya kumsikiliza mteja, kutambua hitaj la Mteja na kumwelekeza sehemu sahii inamchukua more than 1 hour.

Customer care anapaswa kuwa mtu smart na mwenye uelewa mkubwa wa ishu za kampuni husika.Msituwekee wenye vicertificate ama vidiploma vya pichu mapokezi/reception.Mnajiharihia hadi brand zenu kwa upuuz huo.

Nililotaka Fanya benki nimeghair kwa Leo for sure .Kwan sidhan kama ni busara uniweke nimesimama customer care zaid ya saa moja kwa ishu ya kutatuliwa ndani ya 10 minutes. Halafu wakenya wakija chukua ajira bongo tunaanza kulialia bila mpango.Tubadilike jamani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari za mchana wanaJf

Leo kwenye saa 4 asubuh,nilikwenda benki ya Crdb tawi la mbezi Luis kushughulikia miamala kadhaa ya kibenki.

Nikaanzia mapokezi pale ambapo pamoja na kuwa na PC tatu za customer care,alikuwepo binti mmoja tu akitoa huduma.
Kilichofanya nilete uzi huu ni kuwa ,that girl is too dumb.Am sorry to say that.Yaani ishu ndogo tu ya kumsikiliza mteja, kutambua hitaj la Mteja na kumwelekeza sehemu sahii inamchukua more than 1 hour.

Customer care anapaswa kuwa mtu smart na mwenye uelewa mkubwa wa ishu za kampuni husika.Msituwekee wenye vicertificate ama vidiploma vya pichu mapokezi/reception.Mnajiharihia hadi brand zenu kwa upuuz huo.

Nililotaka Fanya benki nimeghair kwa Leo for sure .Kwan sidhan kama ni busara uniweke nimesimama customer care zaid ya saa moja kwa ishu ya kutatuliwa ndani ya 10 minutes. Halafu wakenya wakija chukua ajira bongo tunaanza kulialia bila mpango.Tubadilike jamani.

Sent using Jamii Forums mobile app

Mwenyezi Mungu ametupa Mikono na Vichwa ili wakati mwingine tunapokwazwa na Wachache basi tuitumie kwa Kuwapiga Ngumi au Kuwapiga Vichwa na siyo tuache Kufanya hivyo na matokeo yake tunakuja tu Kulalamika huku Mitandaoni. Siku zingine usirudie tena hilo Kosa tafadhali sawa?
 
Acha ushamba wewee.. Washamba wanajulikana wote waporipori na huyu bint I sio mkaskaz maana wa huko wanajielewa na wanapiga kazi sana.. Kabint ni kakanda yenu..keusi kafupi na issue meneja wao.. Yawezekana ana mambo na wafanyakazi wake maana hata wateja wanapolalamika anabaki kutoa macho tu.. Nimeshuhudia mwenyewe mara kadhaa nikiwa bank hiyo
Yes hako hako
Halafu huyu meneja wa Crdb mbezi Luis ajitafakari ,huenda viatu vimempwaya,Huduma mbovu sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Mwenyezi Mungu ametupa Mikono na Vichwa ili wakati mwingine tunapokwazwa na Wachache basi tuitumie kwa Kuwapiga Ngumi au Kuwapiga Vichwa na siyo tuache Kufanya hivyo na matokeo yake tunakuja tu Kulalamika huku Mitandaoni. Siku zingine usirudie tena hilo Kosa tafadhali sawa?
Sasa genta nikapigane bank kwel?si nitaonekana mkorofi hata kama mie nimekwazwa ila wajirekebishe.Tunaongea kwenye forum kama hizi watambue makosa halafu wayafanyie kazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukabila uko wazi pale mbona.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ok vyovyote itavyokuwa
Mie nimekereka na Huduma mbovu wanayotoa.Wajua hili tawi linahudumia,mbezi mwisho,part of goba,kibamba,kimara hadi ubungo hakuna tawi la Crdb, ukitoa ATM zao.Sasa ukihitaj Huduma ya physical utajuta .wajirekebishe especially meneja wa hapo nadhani hayuko competent enough. Wambadil,angekuwa competent angetambua mahitaj hayo na kuyafanyia kazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
its true mbezi ni majanga , mbaya zaidi ni pale ambapo atm zote hazifanyi kazi na ijumaa na hapo sometimes pesa hawaweki!! sasa atm za nini? na kuhusu suala la customer care long way to go, ila pale kijitonyama wako vizuri!! sio branch zote mkuu
 
its true mbezi ni majanga , mbaya zaidi ni pale ambapo atm zote hazifanyi kazi na ijumaa na hapo sometimes pesa hawaweki!! sasa atm za nini? na kuhusu suala la customer care long way to go, ila pale kijitonyama wako vizuri!! sio branch zote mkuu
Yes siyo zote
Kama Crdb Kibaha wako vizuri sana
Ila mbezi Luis ndio majanga
Warekebishe
Mbezi Luis kuna biashara na mishe kibao,kutuwekea tawi moja halafu Huduma mbovu ni kutuonea
Nadhan nmb na benki zingine wanapaswa kufungua matawi mbezi,hii ni fursa kwani Crdb kachemka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa genta nikapigane bank kwel?si nitaonekana mkorofi hata kama mie nimekwazwa ila wajirekebishe.Tunaongea kwenye forum kama hizi watambue makosa halafu wayafanyie kazi.

Sent using Jamii Forums mobile app

Ungempa tu Ngumi au Kichwa Kitakatifu ili kupitia Yeye wengine wakiona watajirekebisha. Umeniangusha sana Mkuu Siku zingine usirudie tena.
 
Yule dada mfupi mweusi ana dharau sana, kanajiona kekiii kenyewe, kumbe kabovu tuu. kama ulivyosema ishu ya dakika 0 tuu anakugandisha pale kama hakuoni yani. Itakua analiwa na meneja wa lile tawi, ndo maana analeta dharau bila kuwajibishwa. kuna siku nimechoka zangu akaniletea za kuleta, nikazinguana nae mpaka yule mama askari akaingilia nkahudumiwa chap nkasepa zangu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yule dada mfupi mweusi ana dharau sana, kanajiona kekiii kenyewe, kumbe kabovu tuu. kama ulivyosema ishu ya dakika 0 tuu anakugandisha pale kama hakuoni yani. Itakua analiwa na meneja wa lile tawi, ndo maana analeta dharau bila kuwajibishwa. kuna siku nimechoka zangu akaniletea za kuleta, nikazinguana nae mpaka yule mama askari akaingilia nkahudumiwa chap nkasepa zangu

Sent using Jamii Forums mobile app
Yule hana uwezo,trust me
Huenda ukifatilia utakuta aliletwa na kimemo
Crdb ni benki yangu,naikubal sana so nikikutana na kilaza mmoja anayefanya niichukie nakwazika sana
Crdb jirekebishe
Huyu binti hapaswi kuwa hapo front desk, ni kilaza ,anafanya wote muonekane mnabahatisha kazi zenu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Utu hausomewi unaweza kuwa na master ila bado ukachemka na makaratasi yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio UTU. Utu ni uamuzi, ila huduma nzuri kwenye biashara ZINASOMEWA, zinapatikana kwa uzoefu na zinaweza kuwa enforced mahali pa kazi kwa KANUNI na TARATIBU madhubuti. Hata mtu awe na roho mbaya vipi, huduma nzuri kwa mteja ni HAKI yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom