Huu ni upuuzi crdb bank inayojinasibu kumjali mteja kutoa huduma za hovyo. ATMs kuzima muda mwingi hasa kuanzia jioni na mtandao wa sim banking kukosa maana. Kuna tofauti gani kati ya kuwa na atm au simu au internet na ile "passbook".. tafadhali jirekebisheni kabla hatujaenda kcb. Mnaboronga wenyewe kisha mnakuja kulia lia , mara oh, serikali hailindi wawekezaji wa ndani, oovyoo!