CRDB huduma ni mbovu bora hata NMB

CRDB huduma ni mbovu bora hata NMB

jamii01

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2010
Posts
1,988
Reaction score
1,437
Mnichukie au msinichukie huduma za kibank crdb kwa sasa ni mbovu kuliko hata nmb.miaka ya nyuma nakumbuka crdb ndio ilikuwa ikiongoza kwa huduma nzuri kwa wateja..na lugha safi kwa wateja huku nmb ikidharaulika kwa sasa nikinyume chake..nimepita branch nyingi kwa huduma za kibank kati ya crdb na nmb lakini naona kwa sasa nmb wananafuu..crdb hukiwa na shida wahudumu wanajivuta wanafanya kazi kwa kujisika majibu yao hovyo..ukipiga sim kitengo cha huduma kwa wateja nacho tabu tu.
Huwe na shida sasa ya kubadirisha kadi au kuomba huduma ya internet banking ndio tabu sasa alafu hukute inagoma wanavyokuzungusha kana kwamba unakwenda kumuona mgonjwa hospital au zile pesa si zako.
Upande wa mikopo nako tabu tena wanataka rushwa kana kwamba zile pesa hauzirudishi au wanakupa bure.
 
Wana wateja wengi wanaoshindwa kuwahudumia.

Kadiri muda unavyokwenda wanazidi kupoteza umakini.
 
Kwa foleni sasa.....muda si mrefu itafanana na Nmb

Hapo kwenye foleni nakuunga mkono ni next to impossible ukute madirisha yote yana tellers as if mengine wanayaacha kama reserve au ni mapambo au sijui wanayaacha kama back up hata huwa siwaelewi..
 
Umesema wamekunyima mkopo eeeh........?........nyie CRDB nyie.......mjirekebishe..........japo sijui ni tawi la wapi.......
mimi huku kwangu Yaeda........mbona wateja tunapewa kahawa tukisubiri kwenye line.......?..........halafu wakaka wanatutabasamia huku wanatusaidia muamala..........
hama huko uje huku..............
 
Acha kutuchafua wewe. Inaelekea umenyimwa ajira na CRDB

Sina mpango wa kuomba ajira kwa mshahara gani anaoupata banker? Full njaa yawezekana hata wewe ulikwisha nipiga mzinga counter..msipojirekebisha mtapoteza wateja wengi.
 
Umesema wamekunyima mkopo eeeh........?........nyie CRDB nyie.......mjirekebishe..........japo sijui ni tawi la wapi.......
mimi huku kwangu Yaeda........mbona wateja tunapewa kahawa tukisubiri kwenye line.......?..........halafu wakaka wanatutabasamia huku wanatusaidia muamala..........
hama huko uje huku..............

Sijawahi kuomba mkopo CRDB maana nilikereka na kero zao.kwa mkopo Stanbic ni wazuri.
 
Jadili uozo wa CRDB bila kuilinganisha na NMB. Zipo tofauti sana. NMB nu bank kubwa kuliko hiyo CRDB ilinayomilikiwa na Kimei. Miaka nenda rudi ni Kimei tu.
 
Sina mpango wa kuomba ajira kwa mshahara gani anaoupata banker? Full njaa yawezekana hata wewe ulikwisha nipiga mzinga counter..msipojirekebisha mtapoteza wateja wengi.

Haaa unadharau babu,,,yaani unadhani banker wote wana mishahara hafifu..
 
CRDB walinibia laki tatu kwa account tangu sitaki hata kuwasika tena na account nilisha wambia wafunge folen kama kijiandikisha kweny daftari la kupiga kura. FNB mpango mzima
 
Mimi nafikiria kuhamia benki nyingine maana kimei na vijana wake wameanza kujisahau.
 
Hivi juzi tu kazi za bankers zilikuwa zinafanywa za form six, kwani hazihitaji ujuzi wowote zaidi ya kujua kusoma, kuandika na kuhesabu, ndiyo mana hata misharaha yao mpaka leo bado ni midogo, tatizo la ajira ndiyo limesababisha wenye degree kuanza kufanya bankers
 
Nafikiri warudishe mfumo wa zamani wa kuajiri form six level and Diploma holders walikuwa vizuri zaidi upande wa front desk hawa degree holders wakae backoffice wachezee vouchers.
 
Hivi juzi tu kazi za bankers zilikuwa zinafanywa za form six, kwani hazihitaji ujuzi wowote zaidi ya kujua kusoma, kuandika na kuhesabu, ndiyo mana hata misharaha yao mpaka leo bado ni midogo, tatizo la ajira ndiyo limesababisha wenye degree kuanza kufanya bankers

hiyo ni fact.. ukwel mchungu
 
mnichukie au msinichukie huduma za kibank crdb kwa sasa ni mbovu kuliko hata nmb.miaka ya nyuma nakumbuka crdb ndio ilikuwa ikiongoza kwa huduma nzuri kwa wateja..na lugha safi kwa wateja huku nmb ikidharaulika kwa sasa nikinyume chake..nimepita branch nyingi kwa huduma za kibank kati ya crdb na nmb lakini naona kwa sasa nmb wananafuu..crdb hukiwa na shida wahudumu wanajivuta wanafanya kazi kwa kujisika majibu yao hovyo..ukipiga sim kitengo cha huduma kwa wateja nacho tabu tu.
Huwe na shida sasa ya kubadirisha kadi au kuomba huduma ya internet banking ndio tabu sasa alafu hukute inagoma wanavyokuzungusha kana kwamba unakwenda kumuona mgonjwa hospital au zile pesa si zako.
Upande wa mikopo nako tabu tena wanataka rushwa kana kwamba zile pesa hauzirudishi au wanakupa bure.

kuwa wazi na uelekeze hizo changamoto kwenye tawi husika ili zitatuliwe
 
Experience yangu na CRDB Bank imekuwa nzuri siku zote.watoa huduma kwa wateja wako vizuri na pia nikiwa na tatizo huwa nasaidiwa vizuri tu.Matawi yote niliyowahi kwenda huwa nasikilizwa na kupata utatuzi muafaka...na pia sio kila tatizo huwa naenda tawini...nimeona siku hizi wanajibu na kuhudumia wateja wao mpaka katika facebook...nikiandika swali najibiwa fasta.
Kusema ukweli CRDB Bank nawapongeza kwa juhudi zenu za kuboresha huduma kwa wateja...mko juu sana
 
Sina mpango wa kuomba ajira kwa mshahara gani anaoupata banker? Full njaa yawezekana hata wewe ulikwisha nipiga mzinga counter..msipojirekebisha mtapoteza wateja wengi.

Uwezo wako wa kujenga hoja ni mdogo sana
 
Ni kweli nimepambana na folen Crdb babati, wenyeji wanakuja na pesa zao wanapitishia customer care.
 
Back
Top Bottom