Swiper
JF-Expert Member
- Apr 5, 2013
- 444
- 168
Leo nimeenda bank ya CRDB kama ilivyo ada kabla ya kuchukua mkwanja mteja unapenda kujua salio lako.. yaani balance inasomeka je. kuingia nakumpatia mhudumu wa benki, ananiambia kuna utaratibu mpya.
Andika jina na account number yako kwenye kitabu kisha utachajiwa gharama ya kuona au kjua salio lako ambao ni shilling 500/=. Nilishikwa na mstuko, maswali mengi yakaniijia kichwani.Je hii huduma ni ya kulipia.
je huu sio wizi wa mchana kweupe.kila mwezi kuna makato ya benki "monthly service fee" kila ukitoa hela wanakata, "withdrawal fee" mwajiri wako au money transfer ikifanyika wana kukata "service fee" n.k hapo ni kwenye account zetu za akiba.
Hivi nini maana ya monthly fee? kama haijumulisha na kutoa balance ukiomba na hadi leo sijawahi kutumiwa bank statement ya accounti yangu yapata miaka 5, je benk wanatoa huduma gani kwangu, kama hawatumi monthly statement ya account kwanini nisiombe balance? nikiomba kwanini nilipie.
Mamlaka ya kusimamia haki za mlaji/mteja yapo wapi. BOT regulator na supervisor wa mabenki mnalijua hilo? hiyo fee inamnyonya mlaji na mteja wa huduma ya benki, kumbuka salio langu na lako na mwenigine ndo sehemu ya mikopo CRDB wanatoa na kupata faida kubwa.
CRDB Bank Please tafadhali acheni wizi wa mchana kweupe, hiyo gharama mliyo ileta haitafanikisha kuongeza wateja, labda kama mnataka kupunguza wateja.
Nawasilisha.
SP
Andika jina na account number yako kwenye kitabu kisha utachajiwa gharama ya kuona au kjua salio lako ambao ni shilling 500/=. Nilishikwa na mstuko, maswali mengi yakaniijia kichwani.Je hii huduma ni ya kulipia.
je huu sio wizi wa mchana kweupe.kila mwezi kuna makato ya benki "monthly service fee" kila ukitoa hela wanakata, "withdrawal fee" mwajiri wako au money transfer ikifanyika wana kukata "service fee" n.k hapo ni kwenye account zetu za akiba.
Hivi nini maana ya monthly fee? kama haijumulisha na kutoa balance ukiomba na hadi leo sijawahi kutumiwa bank statement ya accounti yangu yapata miaka 5, je benk wanatoa huduma gani kwangu, kama hawatumi monthly statement ya account kwanini nisiombe balance? nikiomba kwanini nilipie.
Mamlaka ya kusimamia haki za mlaji/mteja yapo wapi. BOT regulator na supervisor wa mabenki mnalijua hilo? hiyo fee inamnyonya mlaji na mteja wa huduma ya benki, kumbuka salio langu na lako na mwenigine ndo sehemu ya mikopo CRDB wanatoa na kupata faida kubwa.
CRDB Bank Please tafadhali acheni wizi wa mchana kweupe, hiyo gharama mliyo ileta haitafanikisha kuongeza wateja, labda kama mnataka kupunguza wateja.
Nawasilisha.
SP