Lengo la Benki ya Ulaya kuikopesha Benki ya CRDB ni kwa ajili wa wajasiliamari na sio kuwa benki haina uwezo wa kuwakopesha. Hili ni jambo la kawaida kabisa kwani hata African Devt Bank hupokesha benki nyingi hapa nchini ili nazo zitoe mikopo kwa wateja. Acha kukurupuka!
Hiyo NBC yako unayoishabikia ndio mabingwa wa kupika, jiulize katika kipindi cha miaka kumi iliyopita benki yako imeshabadili na kufukuza Ma CEo wangapi? If all is well as you potray?.Tufanye kazi jamani tuache siasa kwenye mambo ya msingi.