CRDB acheni kuwatesa watumishi wa Serikali

CRDB acheni kuwatesa watumishi wa Serikali

kazikubwa

JF-Expert Member
Joined
Oct 8, 2010
Posts
597
Reaction score
151
Imekuwa ni mchezo wa kawaida kwa benk ya CRDB kuwafanyia makusudi watumishi wa Serikali kwa kuchelewesha kupost mishahara hiyo kwenye akaunti za watumishi. Kwa mfumo wa Serikali mishahara yotye huanzia NMB ambao nao hizitawanya kwenye benki nyingine. Mara zote hutokea watumishi wote wanaolipwa kupitia benki nyingine hupata mishahara yao mapema na wa CRDB huchukua zaidi ya wiki licha ya kuwa wameipokea mapema. Mchezo huo umeanza mwezi October, 2012.

Kuna habari za chini chini eti kuna ugomvi wa kibiashara kati ya benk hizo hivyo wanakomoana. CRDB acheni hizo, hamuikomoi NMB bali mnawatesa wateja wenu.
 
Imekuwa ni mchezo wa kawaida kwa benk ya CRDB kuwafanyia makusudi watumishi wa Serikali kwa kuchelewesha kupost mishahara hiyo kwenye akaunti za watumishi. Kwa mfumo wa Serikali mishahara yotye huanzia NMB ambao nao hizitawanya kwenye benki nyingine. Mara zote hutokea watumishi wote wanaolipwa kupitia benki nyingine hupata mishahara yao mapema na wa CRDB huchukua zaidi ya wiki licha ya kuwa wameipokea mapema. Mchezo huo umeanza mwezi October, 2012.

Kuna habari za chini chini eti kuna ugomvi wa kibiashara kati ya benk hizo hivyo wanakomoana. CRDB acheni hizo, hamuikomoi NMB bali mnawatesa wateja wenu.


usipojuwa ukweli unaweza pata shida pasipo kujuwa hivyohivyo, mie nijuavyo mala nyingi ni Benki ya NMB ambayo huwa wanachelewesha kupeeka ili watu wazichukie benki nyingine wahamie NMB. LAKINI JAMBO LA MSINGI IKIWA WEWE UNAINGIZIWA MSHAHARA WAKO TAREHE 15 YA MWEZI WAPILI SI UIFANYE NDIYO MWISHO WA MWEZI WAKO? HUTAPATA SHIDA HIZO KUFIKIRIA SANA
 
Mbona wa NBC ndiyo tunauliwa kabisa sasa, maana sisi tunapata baada ya NMB na CRDB.
 
inaonekana nawe ni muathirika wa hilo ,basi ujumbe watakuwa wameupta.
 
Labda swali la msingi: Kwa nini serikali inapeleka kwanza hiyo mishahara benki ya NMB badala ya kupeleka fedha hizo moja kwa moja kwenye benki mbalimbali?
 
Labda swali la msingi: Kwa nini serikali inapeleka kwanza hiyo mishahara benki ya NMB badala ya kupeleka fedha hizo moja kwa moja kwenye benki mbalimbali?

mtoa fedha ana acount NMB HIVYO HUINGIZA FEDHA KWENYE BENKI YAKE.
 
Tatizo ni decision makers waliopo serikalini.
Wanapeleka mishahara yote NMB, halafu NMB ndio iwalipe CRDB, NBC n.k.
Katika mazingira ya kawaida ya kibiashara na ushindani ni lazima kutakuwa na hujuma.
NMB wanawekea wateja wao kwanza then baadae ndio wanalipa CRBD, NBC n.k
 
Serikali ina acount NMB? Kwa jina lipi (itakuwa Riz1)? Na BOT kazi yake nini?
Acha ukilaza, punguza font !Pili, BOT haifanyi retail banking, rudi darasani.Tatu, hoja ni kuwa serikali isiwatumie NMB kuwalipe banks nyingine bali ilipe moja kwa moja.
 
Acha ukilaza, punguza font !Pili, BOT haifanyi retail banking, rudi darasani.Tatu, hoja ni kuwa serikali isiwatumie NMB kuwalipe banks nyingine bali ilipe moja kwa moja.
Mkuu Richard Mlangi, ebu fafanua kidogo, unaposema serikali moja kwa moja unamaanisha nini? Italipa kutoka wapi? Kama BoT haifanyi retail banking (jambo ambalo ni kweli) ni jinsi gani hazina inaweza kulipa moja kwa moja?
 
Last edited by a moderator:
Kweli kabisa, kipindi cha nyuma watumishi wa NMB wakipata kesho yake na benki nyingine wanapata. Lakini kwa sasa inaweza kupita zaidi ya wiki, hapa kuna tatizo ambalo linatakiwa litatuliwe na wahusika
 
Back
Top Bottom