Kama unavojua hizi electronics equipment!Nilikuwa natumia kama external,later ikagoma kuonekana,haijaanguka,badae nikiweka kama external,PC inahang, nikaiweka slave,machine ikiwaka haionekani. Najua East African Data Handlers in Kenya wanafanya, ila ni mbali japo niliwahi kufanya nao hiyo kazi