Shark's Style
JF-Expert Member
- Oct 27, 2010
- 311
- 182
Nina computer desktop kwa miaka minne sasa ila sasa imeanza tabia ya kujizima baada yakuwa nimeiwasha, nikahisi ni uchafu tu ila nilipoifungua na kuishafisha ndani nikaitest kuwasha tena ikawaka na fan ikawa ina zunguka fresh ila baada ya kama sekunde 30 ika zima ila computer ikaendelea kuwaka lakini haiwaki muda mrefu hauzid dakika 10 itajizima au kurestat nimehakikisha kila connection ipo sawa hasa hiyo fan. hapo mwanzo hapakuwaa na tatizo hilo na sijui tatizo nini. naombeni msaada nijue chakufanya I'm stucked here.