radicals
JF-Expert Member
- Nov 7, 2016
- 4,411
- 6,484
Habari za Jumapili wanajamii, mimi ni mhitimu wa bachelor degree ya accounting nataka nijiunge na tuition center yani cpa review classes hapa DAR ES SALAAM ila sijajua ni mahali gani pako vizuri kielimu na kigharama pia, HASA MASOMO mawili FINANCIAL ACCOUNTING na PUBLIC FINANCE AND TAXATION. Kwa yeyote anaefahamu naomba aniambie ili nianze mapema maana natarajia kufanya mtihani mwezi wa 11. karibuni wadau wa elimu. NATANGULIZA SHUKURANI