CPA kwa diploma level

CPA kwa diploma level

inategemea kama ni diploma ya accounting, nafikiri anaanza foundation, intermediate then anamalizia final stage
 
Sasa alisoma diploma...na hakusoma CPA...na yule aliyeisoma tofauti yao iko wapi?
C.P.A ni kufanya mitahani ya kukucertify kuwa mhasibu kamili bila kuwa na c.p.a ukiwa na Hiyo Dip utaitwa Accounts Assistant.
we upo field gani swahiba?
 
C.P.A ni kufanya mitahani ya kukucertify kuwa mhasibu kamili bila kuwa na c.p.a ukiwa na Hiyo Dip utaitwa Accounts Assistant.
we upo field gani swahiba?
Kwahio mtu mwenye dip account anaanza na level gan je anaweza kuanza na intermediate level?
 
Kwahio mtu mwenye dip account anaanza na level gan je anaweza kuanza na intermediate level?
ataanzia foundation.. Na kwenda Intermediate lazima uwe na Barua ya kufaulu iyo level ya foundation au uwe umemaliza shahada ya uhasibu au uhasibu na fedha ndo utaanza na hiyo Intermediate
 
Stage tatu for 3 semester. Kama unajiweza foundation. Intermediate. Final stage. 2yrs
Foundation,intermediate&final stage usome kwa miaka 2,hahah rahisi ka hivyo aisee.

Kwanza we una CPA au naongea na mtu anaeisikia story kwa watu?
 
ataanzia foundation.. Na kwenda Intermediate lazima uwe na Barua ya kufaulu iyo level ya foundation au uwe umemaliza shahada ya uhasibu au uhasibu na fedha ndo utaanza na hiyo Intermediate
Vizur mkuu kwa maelezo yaloyonyooka na vp foundation unasomea kwa mda gan ?? Na intermediate mda gan?
 
Back
Top Bottom