CPA kwa diploma level

CPA kwa diploma level

omary khamis

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2016
Posts
402
Reaction score
77
Habar za saiz waungwan polen na majukumu naomba kuuliza mhitimu wa ngaz ya diploma anauwezo wa kusoma CPA??
 
Diploma unaanza kama Foundation afu Intermediary na baada professional kama unajiweza unaanza tu moja kwa moja Intermediary
 
IMG_20171227_180642.jpg
 
Diploma unaanza kama Foundation afu Intermediary na baada professional kama unajiweza unaanza tu moja kwa moja Intermediary
Mkuu hapo umeniacha ulivosema kama unajieza unaanza moja kwa moja .. Kujieza kivip yan
 
Ndiyo anaweza kusoma, Hata muhitimu wa kidato cha nne akiwa na vigezo a naruhusiwa kusoma. Tofauti ni stage atakayo anzia.
Okay sawa mkuu nimekuelewa but kwa mtu mwenye diploma anasomea cpa kwa mda gan?
 
Na vp unaeza ukaishia intermediate level au lazima upige final stage
 
Na unaeza ukaishia stage ya intermediary ??? au lazima upige final stage
 
Mkuu kama alikosea iweke vizuri hio comment ili tujue kakosea wap
 
Samahan nisaidien sielewe hiyo CPA ninini? Sorry jaman
 
Back
Top Bottom