Cotrimoxazole for sale

Cotrimoxazole for sale

Nyinyi ndiyo mnsababisha kuenea kwa antibiotic resistance, sasa mtu ananunua hilo kopo, kila anaekohoa ndani ya nyumba yake atapewa antibiotics wakati magonjwa mengine mwili unaweza kujitibu wenyewe bila kuhitaji dawa. Ni muhimu kupata prescription ya dr kama unaumwa na ukimaliza kutumia antibiotics zilizobaki zipeleke pharmacy wakusaidie kuzitupa/kuteketeza.
Umeniquote wrong ckuwa nauza individual item wala sikuwa na prescribe hapa nilikuwa natafuta market kwa watu wenye pharmacy wanaouza kwa wholesale that was my target na nmeshaumaliza mzigo wote
 
Umeniquote wrong ckuwa nauza individual item wala sikuwa na prescribe hapa nilikuwa natafuta market kwa watu wenye pharmacy wanaouza kwa wholesale that was my target na nmeshaumaliza mzigo wote
Nimekuelewa mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom