Time is money bruh! wacha kutumia kichwa Kama kabati ya meno.Escalation cost kwenye Sgr_tz ndiyo zipi hizo ikiwa mradi umechelewa kwa kuwa mkandarasi kashindwa kuendelea na ujenzi kwa sababu ya mvua? I think something is wrong with your analysing ability. Ushaambiwa kuna wakati certificates za contractor zilichelewa kuwa honoured!
It's very annoying when you see someone doing whatever they can to expose their stupidity.
Sent using Jamii Forums mobile app
We are waiting for you guys to introduce bullet trains ππSuswa, SGR to no where!
Very informative and honest video about the lonely Suswa station from the young vlogger. Viewer alert!! rough and dirty scenes of Nairobi somewhere at the beginning, very quiet and isolated Suswa station to cement the point. He however, cleverly compensated the mess with splendid views of Mt Suswa at the end of the video, enjoy...
We are waiting for you guys to introduce bullet trains
Escalation cost kwenye Sgr_tz ndiyo zipi hizo ikiwa mradi umechelewa kwa kuwa mkandarasi kashindwa kuendelea na ujenzi kwa sababu ya mvua? I think something is wrong with your analysing ability. Ushaambiwa kuna wakati certificates za contractor zilichelewa kuwa honoured!
It's very annoying when you see someone doing whatever they can to expose their stupidity.
Sent using Jamii Forums mobile app
I warned you earlier not to feed the Troll, now you feel the consequences, she will drive you insane if you persist responding to her childish posts...
Hatuna haraka hata Kama itachukua miaka 20 tutangoja tu.Zinakuja subira yavuta kheri, sisi hatujaacha kufanya kazi sababu ya Corona..
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha utoto. Hoja hujibiwa kwa hoja na si misemo ya kwenye khanga.Time is money bruh! wacha kutumia kichwa Kama kabati ya meno.
Time/Muda no hoja ya maana Sana kwenye utekelezaji was ujenzi was miundo mbinu yote. There are costs incurred in idle labor and the more you delay the more the cost. Kama huoni hiyo no hoja then uko na utoto.Acha utoto. Hoja hujibiwa kwa hoja na si misemo ya kwenye khanga.
Sent using Jamii Forums mobile app
wewe huna akili ni chokoraa flani ivi usiye na maintanance kwa ubongo wako.......Tuki mbie kitu ganiwakati matakimbia nyinyi? SGR Tanzania iko Miezi 8 nyuma sasa.
Stations zinapunguzwa Ukubwa na style kupunguza gharama.
Tunakimbizana almradi tumalize
3 yrs sasa kwa 176 Kms
1.5 yrs kwa 600 kms ya Nairobi
Kwenye ujenzi ukichelewa kumaliza kwa wakati maana yake gharama zitaongezeka . Sasa kwa miezi mi 8 tayari kuna escalation costs.
Na bado hatuna uhakika wa exactly lini tutakwenda Moro kwa SGR !
utaongea pumba mwisho wa siku utanyamaza kama punga la mombasaniSasa hicho cha juu ni kituo cha Train au police station ? Yaani mmefuja kila kitu ...tamaa ya kuwa na Rail classic with international amenities imepotea.
Mnatujengea vituo bya polisi
Sent from my iPad using JamiiForums
wewe huna akili ni chokoraa flani ivi usiye na maintanance kwa ubongo wako.......
contructor kashalipwa pesa yake hivyo awahi au achelewe ni juu yake yeye kikubwa ni mkataba unasema vipi acha ushoga
Sent using Jamii Forums mobile app
Siku hizi wana ID mbili moja ya nchi yao na nyingine ya kujifanya watanzania ili waponde miradi ya Tz πππ
ndiyo maana nikawaambia hao kunguni kuwa apige wapige kelele wasipige kelele, contructor achelewe ama awahi kikubwa ni malipo kazi ni juu yake na itaisha tu mwisho wa siku kelele wataziachaSiku hizi wana ID mbili moja ya nchi yao na nyingine ya kujifanya watanzania ili waponde miradi ya Tz
Hahahahaha military techniquesSiku hizi wana ID mbili moja ya nchi yao na nyingine ya kujifanya watanzania ili waponde miradi ya Tz
Inatakiwa wafahamu hatujengi mitungi ya changaa π π πndiyo maana nikawaambia hao kunguni kuwa apige wapige kelele wasipige kelele, contructor achelewe ama awahi kikubwa ni malipo kazi ni juu yake na itaisha tu mwisho wa siku kelele wataziacha
Sent using Jamii Forums mobile app
Failed military techniques πππ
Tatizo wanafeli kwny fonts, kuna muandiko mwingine ukiuona unajua kabisa huyu ni fulani huyu sema ID ni nyngne, ss we ngoja saivi tutakuwa tunatajana majina kwa ID ya zamani humu ili wasione km wamefaulu kwa technique hyoSiku hizi wana ID mbili moja ya nchi yao na nyingine ya kujifanya watanzania ili waponde miradi ya Tz