LICHADI
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 4,148
- 11,196
Taifa la marekani limeipiku china kwa visa vya Corona Marekani imeripoti visa (81,782) na Italy visa (80,589).
Huku vifo kwa marekani pekee vikiwa 1,300 Italy ndio inaongoza kwa vifo ambavyo hadi sasa vimefikia (8,215).
Ikumbukwe kuwa mwezi mmoja uliopita China ilikuwa na wagonjwa zaidi ya 70,000 na marekani ilikuwa na kisa kimoja tu lakini ndani ya muda mfupi mambo yamebadilika.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huku vifo kwa marekani pekee vikiwa 1,300 Italy ndio inaongoza kwa vifo ambavyo hadi sasa vimefikia (8,215).
Ikumbukwe kuwa mwezi mmoja uliopita China ilikuwa na wagonjwa zaidi ya 70,000 na marekani ilikuwa na kisa kimoja tu lakini ndani ya muda mfupi mambo yamebadilika.
Sent using Jamii Forums mobile app