The Initiator huru
JF-Expert Member
- Dec 4, 2017
- 2,326
- 3,202
Nchi zilizoendelea zinafunga mipaka yake eg USA ili kupunguza ama kuzuia maambukizi ya virusi vya korona but Nchi za Kiafrika ambazo ni masikini zinasema zime jipanga kupambana na Corona.
Aliyetuloga waafrika Mungu ana muona
Aliyetuloga waafrika Mungu ana muona

