nguvusimba
JF-Expert Member
- Feb 17, 2020
- 1,117
- 1,827
MNGEENDELEA KUJIFUNGIA, MNGEKULA JEURI YENUWewe ni akili hauna. Hajui kwanini tulifunga na kwanini tukafungua. Hebu niambie ni kipi Uhuru kaiga kwa Maghufuli? Hakuna kitu hata moja tunaweza iga kutoka huko!