Corona si tishio kwa Afrika

Corona si tishio kwa Afrika

Mkuu umeandika hivyo kama nani?
Unadhani upo sahihi kuaminisha watu hicho ulichoandika?
Africans Tuache kujipa moyo, kubweteka, ujuaji, masikhara na kulaumu, Hizi ndio tabia zetu. Bali tuanze kujikinga na huu ugonjwa, Usiaminishe wengine opinion zako.

Naona bado tunafanya jokes.
 
Siyo mzungu huyo jamani. Ni black huyo. Corona inaua..


Sent using Jamii Forums mobile app

Huyu hapa
Adjustments.jpg



Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Habari wananchi wenzangu,

Kumetokea mlipuko wa gonjwa hili la CORONA na likianzia huko China na kusambaa kwa kasi Duniani kote.

Mpaka kufikia leo inakadiriwa maambuzi yamefikia jumla ya watu 187 elfu, waliofariki kwa ugonjwa takribani 7 elfu na waliopona ni takribani 87 elfu.

Hesabu hizi si ndogo na hasahasa kasi yenyewe ya ugonjwa. Ni aina ya virusi ambavyo wataalamu wanasema vimetoka kwa wanyama kama Popo na Nyoka na hatimaye kuweza kuishi kwa Mamalia akiwepo Binadamu. Ugonjwa huu kama yalivyo mafua hayana tiba na unashamiri maeneo yenye baridi.

Virusi vya ugonjwa huu vinasafiri baina ya watu au wanyama kwa kugusana maji maji ya mwili au kwa Chafya. Hauenei kwa njia ya hewa maana virusi hao hawawezi kuelea hewani.

Huweza kukaa mikononi kwa takribani dakika zipatazo kumi na hukaa Kwenye vitu yabisi kwa takribani masaa yasiyopungua mawili.

Hapo mwanzo nimesema ugonjwa huu unashamiri zaidi sehemu za baridi, hivyo pia ni vizuri kuepuka maji baridi sana na ice creams.

Wadudu hawa huweza kufa kwa jua kali la sehemu nyingi za Africa, vilevile kwa kunawa na sabuni na kusukutua kwa maji ya uvuguvugu na yenye chumvi.

Binafsi Mimi ugonjwa huu naona umepewa taharuki kubwa na vyombo vya habari hasa vya mabepari, kuna binadamu wanafaidia na hofu kubwa iliyopo.

Watauza madawa na chanjo zao, vilevile wataboresha na kuokoa UCHUMI wao ambao ulikuwa taabani dhidi ya kasi ya UCHUMI wa nchi za Asia.

Tutaona adhari kubwa za UCHUMI huku mataifa makubwa yakitumia fursa hiyo kuimarika kiuchumi.

Hivyo ni kama mambo ya kutengeneza hivi.

Sisi waafrica, ugonjwa huu nauona si tishio kwa afya zetu, maana mazingira mengi ni ya joto ambapo virusi hivi hufa vyenyewe kabla ya kudhuru watu, lakini pia waafrica wengi miili yetu imeimarika kwa kinga za mwili kutokana na mazingira magumu yanayotuzunguka.

Uchafu, magonjwa mengi na dhiki za kutembea umbali mrefu kutafuta mahitaji katika maisha ya kila siku, yanatuweka Imara kukabiliana na magonjwa mengi bila ya sisi kujua au hata kwenda hospitali.

Wenzetu wazungu na watu wa mabara ya Asia na Europe, maisha yao ni tofauti au kinyume na waafrica, mazingira yao na hali ya hewa ni rafiki ya virusi hivi, pia watu hawa nimepata kuishi nao mbali ya Rangi zao za miili kiujumla ni wengi wanatabia za "uchafu rejareja".

Kama kutokunawa na kutegemea tissue tu huku miili yao ikiwa haina kinga za kutosha kutokana na maisha na mazingira yao. Kiujumla wapo vizuri Kwnye usafi wa Mazingira na makazi lakini kuna zile taabia za mtu binafsi kuwa mchafu mchafu.

Vile vile hawa wenzetu wana idadi kubwa ya watu wazee tofauti na Africa. Watu wenye umri mkubwa ni rahisi kushambuliwa na gonjwa hili.

Binafsi nawashauri, acheni taharuki na kuyumbishwa na habari za ugonjwa huu, tunayo matatizo yetu na magonjwa yetu ambayo yanatutesa sana na kuua maelfu hata zaidi ya hii CORONA. Magonjwa kama Malaria inaua karibu mara 4 ya ugonjwa huu, njaa inaua karibu watu 8 elfu kwa siku duniani, Ajali zinatuua sana waafrica kutoka na miundombinu mibovu au hafifu.

Vita vya kisiasa vinapoteza maelfu ya watu. Magonjwa yasiyoambukiza Kisukari na Pressure hivi sasa yanaua watu wengi Africa na nji zinazoendelea kwa watu wenye vipato vya kati kutokana na tabia mbovu za kuishi, life styles.

Inasikitisha sisi kuhamishwa fikra, kujazwa hofu na kuanza kuwaza CORONA huku tukiwa na matatizo mengine makubwa na hatari zaidi. VIONGOZI nao wamepoteza dira na muelekeo nao wamedumbukia humu.

Huu ugonjwa wa nchi za Baridi na wazee huko kwa wazungu, hebu fanyeni kazi na ondoeni hofu miongoni mwenu.

Majira ya joto yapo karibu, ugonjwa huu utatoweka mara moja huko kwa wazungu na hapo mtaamini ugonjwa huu unaathiri zaidi nchi zenye baridi.

Kituko sasa ni Tanzania, jambo hili wanalichanganya na Siasa, mpaka sasa wanasema kuna mgonjwa mmoja, mara wanazuia mikutano hasa ya kisiasa, mitandaoni humu, vurumai mtindo mmoja.

TUFANYE KAZI HAKUNA CORONA YA KUTUSHAMBULIA SISI, WATU WA MUNGU.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimepata jibu kwanini kwa wenzetu huu ugonjwa umesambaa kwa kasi na huku africa hautosambaa kwa kasi, na jibu lenyewe ni NJIA ZA KUSALIMIANA.Wenzetu husalimiana kwa kukumbatiana na kisses za hapa na pale kwa njia hiyo uwezekano wa kuambukizana ni mkubwa mno tofauti na Africa hasa ya mashariki.
 
Hivi wagonjwa wanaogundulika huko nchi zingine unafikiri ni wa juzi? Maana baada ya China kuitangazia dunia ndio watu wakafunga mipaka yao,lakini tayari kuna watu walishausafirisha kitambo kabla ya mipaka kufungwa. Jiulize pia,kwa nini wagonjwawengi wamegunduliwa nyumbani na sio airport?.

Mie niliugua lakini nilishapona,wakati China wanatangaza kuwa kuna korona,nilikuwa nauguza mke wangu na mtoto kwa homa hyhy inayofanana na hio...aisee wengi tu waliugua waliokaribu na mie.

Serikali ikitata ijue kuwa humu nchini kuna wagonjwa wengi tu wa Corona,wanaofanya survillence waanze na watu wote waliosafiri kwenda China kuanzia Mwezi Octoba hadi December...utashangaaa hizo takwimu. Hakuna vifo kwa vile tu tupo vizuri na kinga zetu....na.nina uhakika hakuna mtu atakufa.

Lakini.ujinga wanaofanya wa kusubiria mgonjwa airport,watakuwa wanajidanganya...watapata wachche sana.
Mkuu kama China hali ilikuwa mbaya tangu October kwanini haukusambaa kwa kasi duniani kote wakati kulikuwa hakuna kizuizi chochote cha kusafiri?

Mbona na we ulokuwa China na haukupata virusi?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani hiyo sukari amepata jana? Naona sasa tunaingia kwenye probability...

Sent using Jamii Forums mobile app
Kisukari kimerahisisha kifo chake..

Corona hushambulia mapafu,sasa kama ukiwa na ugonjwa mwingine hatarishi inakuondoa ghafla...(kwa mujibu wa wataalam wala si maneno yangu!!

Mpaka sasa vifo vingi vimeripotiwa either wazee,Ama walikuwa na Chronic diseases..Corona Unakuja tu kufunga mahesabu yake;;Hvyo basi mtu mwenye Afya njema Corona ni ugonjwa wa kawaida tu ambapo mtu huweza kupona bila hata kutumia dawa!!!



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu huyo kisukari ndio kimemuondoa!!
Hakuna Cha Corona Wala nini!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa Corona ni hatari ila sio kama tunavyoaminishwa...

Mitaani watu kama wamechanganyikiwa wamevaa mask,Gloves na wanatembea na Sanitizer....

Mask huvaa wale wanaohsi wana dalili,Ama wahudumu wa Afya,ila sasa taharuki imekuwa kubwa....mwisho watu wafe kwa magonjwa Ya moyo na Presha badala ya Corona yenyewe...


Sent using Jamii Forums mobile app
 
A
Habari wananchi wenzangu,

Kumetokea mlipuko wa gonjwa hili la CORONA na likianzia huko China na kusambaa kwa kasi Duniani kote.

Mpaka kufikia leo inakadiriwa maambuzi yamefikia jumla ya watu 187 elfu, waliofariki kwa ugonjwa takribani 7 elfu na waliopona ni takribani 87 elfu.

Hesabu hizi si ndogo na hasahasa kasi yenyewe ya ugonjwa. Ni aina ya virusi ambavyo wataalamu wanasema vimetoka kwa wanyama kama Popo na Nyoka na hatimaye kuweza kuishi kwa Mamalia akiwepo Binadamu. Ugonjwa huu kama yalivyo mafua hayana tiba na unashamiri maeneo yenye baridi.

Virusi vya ugonjwa huu vinasafiri baina ya watu au wanyama kwa kugusana maji maji ya mwili au kwa Chafya. Hauenei kwa njia ya hewa maana virusi hao hawawezi kuelea hewani.

Huweza kukaa mikononi kwa takribani dakika zipatazo kumi na hukaa Kwenye vitu yabisi kwa takribani masaa yasiyopungua mawili.

Hapo mwanzo nimesema ugonjwa huu unashamiri zaidi sehemu za baridi, hivyo pia ni vizuri kuepuka maji baridi sana na ice creams.

Wadudu hawa huweza kufa kwa jua kali la sehemu nyingi za Africa, vilevile kwa kunawa na sabuni na kusukutua kwa maji ya uvuguvugu na yenye chumvi.

Binafsi Mimi ugonjwa huu naona umepewa taharuki kubwa na vyombo vya habari hasa vya mabepari, kuna binadamu wanafaidia na hofu kubwa iliyopo.

Watauza madawa na chanjo zao, vilevile wataboresha na kuokoa UCHUMI wao ambao ulikuwa taabani dhidi ya kasi ya UCHUMI wa nchi za Asia.

Tutaona adhari kubwa za UCHUMI huku mataifa makubwa yakitumia fursa hiyo kuimarika kiuchumi.

Hivyo ni kama mambo ya kutengeneza hivi.

Sisi waafrica, ugonjwa huu nauona si tishio kwa afya zetu, maana mazingira mengi ni ya joto ambapo virusi hivi hufa vyenyewe kabla ya kudhuru watu, lakini pia waafrica wengi miili yetu imeimarika kwa kinga za mwili kutokana na mazingira magumu yanayotuzunguka.

Uchafu, magonjwa mengi na dhiki za kutembea umbali mrefu kutafuta mahitaji katika maisha ya kila siku, yanatuweka Imara kukabiliana na magonjwa mengi bila ya sisi kujua au hata kwenda hospitali.

Wenzetu wazungu na watu wa mabara ya Asia na Europe, maisha yao ni tofauti au kinyume na waafrica, mazingira yao na hali ya hewa ni rafiki ya virusi hivi, pia watu hawa nimepata kuishi nao mbali ya Rangi zao za miili kiujumla ni wengi wanatabia za "uchafu rejareja".

Kama kutokunawa na kutegemea tissue tu huku miili yao ikiwa haina kinga za kutosha kutokana na maisha na mazingira yao. Kiujumla wapo vizuri Kwnye usafi wa Mazingira na makazi lakini kuna zile taabia za mtu binafsi kuwa mchafu mchafu.

Vile vile hawa wenzetu wana idadi kubwa ya watu wazee tofauti na Africa. Watu wenye umri mkubwa ni rahisi kushambuliwa na gonjwa hili.

Binafsi nawashauri, acheni taharuki na kuyumbishwa na habari za ugonjwa huu, tunayo matatizo yetu na magonjwa yetu ambayo yanatutesa sana na kuua maelfu hata zaidi ya hii CORONA. Magonjwa kama Malaria inaua karibu mara 4 ya ugonjwa huu, njaa inaua karibu watu 8 elfu kwa siku duniani, Ajali zinatuua sana waafrica kutoka na miundombinu mibovu au hafifu.

Vita vya kisiasa vinapoteza maelfu ya watu. Magonjwa yasiyoambukiza Kisukari na Pressure hivi sasa yanaua watu wengi Africa na nji zinazoendelea kwa watu wenye vipato vya kati kutokana na tabia mbovu za kuishi, life styles.

Inasikitisha sisi kuhamishwa fikra, kujazwa hofu na kuanza kuwaza CORONA huku tukiwa na matatizo mengine makubwa na hatari zaidi. VIONGOZI nao wamepoteza dira na muelekeo nao wamedumbukia humu.

Huu ugonjwa wa nchi za Baridi na wazee huko kwa wazungu, hebu fanyeni kazi na ondoeni hofu miongoni mwenu.

Majira ya joto yapo karibu, ugonjwa huu utatoweka mara moja huko kwa wazungu na hapo mtaamini ugonjwa huu unaathiri zaidi nchi zenye baridi.

Kituko sasa ni Tanzania, jambo hili wanalichanganya na Siasa, mpaka sasa wanasema kuna mgonjwa mmoja, mara wanazuia mikutano hasa ya kisiasa, mitandaoni humu, vurumai mtindo mmoja.

TUFANYE KAZI HAKUNA CORONA YA KUTUSHAMBULIA SISI, WATU WA MUNGU.

Sent using Jamii Forums mobile app
AMINA
 
Eti huyu Rose Maria compaore alikuwa vice president wa burknafaso?.
huyu atakuwa black wa kwanza kufa na corona.
taarifa zinadai alikua diabetic
 
naona baadhi ya wabongo wameamua kuwa mabalozi wa corona, full kuipigia promo inaua! inaua!
toka lini mbongo afe na mafua! mtoa mada kaelewesha uzuri sana asili ya huu ugonjwa na wathirika wakubwa ni hao wazungu ndio maaana wana chachawa sana
embu wabongo tutulieni kama ni corona kuwa nayo naamini watakua nao wengi tu hapa nchini lakini watu awana awareness yoyote kama wanayo na maisha yanaendelea
kupanikishana tu!!
 
Virusi vya ugonjwa huu vinasafiri baina ya watu au wanyama kwa kugusana maji maji ya mwili au kwa Chafya. Hauenei kwa njia ya hewa maana virusi hao hawawezi kuelea hewani.

Huweza kukaa mikononi kwa takribani dakika zipatazo kumi na hukaa Kwenye vitu yabisi kwa takribani masaa yasiyopungua mawili.
"Coronavirus behind a worldwide outbreak can survive in the air for several hours".

"The coronavirus can live for three days on some surfaces, like plastic and steel,"

"The test results suggest that humans could be infected by the disease simply carried through the air or on a solid surface, even if direct contact with an infected person does not occur."

Ikiwa inamaanisha coronavirus inaambukizwa pia kwa njia ya hewa na hawa virus wanawaza kukaa kwenye hewa wakiwa hai kwa masaa 3.

Pia hawa virus wanakaa hai masaa 72 yaani siku 3 kwenye chuma na plastic.

Tests indicate coronavirus can survive in the air
How Long Will Coronavirus Live on Surfaces or in the Air Around You?
 
Hakika tungekuwa na Data za kurekodi kila siku kama ilivyo kwa hili gonjwa la kibeberu tungegundua ni mamilioni ya watu kila siku wanapata Maambukizi na mamia ya watu wanapoteza maisha kila siku sababu ya malaria!

Tuache kuipromoti sana corona,maana wakati tunaendelea kuipromoti kuna magonjwa yanaendelea kututafuna kama kawaida!


Sent using IPhone X
 
Back
Top Bottom