Mkuu ni Continuing Students.Habari zenu,nilikua nauliza Kama kuna continous students waliokuwa wameomba mkopo mwaka huu na wamefanikiwa kupata katika batch ya kwanza?
Mmmmmmhhh!! Sidhani kama kuna continue students kapata mkopo btch#1 labda zijazoMkuu ni Continuing Students.
Hayo mengine watakujibu wenye uelewa nao.
ulichopewa ndio hicho hicho mpaka unamaliza chuo , labda kama unataka ku appeal uongezewe mkopo..Wakuu hv kwa aliopangiwa mkopo last yia ila continuous vp asilimia zinaweza kuchange