"kuhakiki kama loan officers walipeleka taarifa bodi ya mikopo" . Taarifa zipi tena mkuu? form za maombi zilishapelekwa bodi muda mrefu sana, bodi ikatoa majina ya waombaji walio kosea baadhi ya vipengele, wahusika wakaenda bodi kurekebisha taarifa zao. Sasa hizo taarifa nyigine ni zipi?