Continous students waliokosa mikopo miaka ya nyuma

Continous students waliokosa mikopo miaka ya nyuma

sirmtagwa

Member
Joined
Oct 5, 2015
Posts
66
Reaction score
0
TAARIFA MUHIMU KWA CONTINOUS STUDENTS.
Kwa wale wote continous students ambao mliapply mkopo wa elimu ya juu mara ya pili mnaombwa kwenda kuhakikisha kwamba taarifa zako kama zimefika board ya mikopo ya elimu ya juu kwa sababu maloan officer wengi wa vyuon huwa hawapeleki taarifa zenu ili muweze kupata mkopo.Hadi sasa hazina ipo kubwa ili kuwawezesha wanafunzi wa elimu ya juu kupata mkopo. Hadi sasa wanafunzi wa mwaka wa kwanza imefikia kiwango kikubwa kupata mkopo yaan wengi wamepata..Sasa mda huu umebaki wa continous students waliokosa miaka ya nyuma nao kunufaika na mikopo sasa basi nenda heslb ukahakiki kama loan officers walipeleka taarifa zako au hapana.. hii muhimu sana kwa sababu inaonyesha wazi kuwa wanafunzi wanaoendelea huwa hawapati mikopo kutokana na maloan officer wa vyuo husika kuhitaji rushwa na hili tatizo litafanyiwa kazi mara moja na bodi husika kuwafuta kazi wale wote wanaowanyima watu haki ya kupata mikopo
 
"kuhakiki kama loan officers walipeleka taarifa bodi ya mikopo" . Taarifa zipi tena mkuu? form za maombi zilishapelekwa bodi muda mrefu sana, bodi ikatoa majina ya waombaji walio kosea baadhi ya vipengele, wahusika wakaenda bodi kurekebisha taarifa zao. Sasa hizo taarifa nyigine ni zipi?
 
"kuhakiki kama loan officers walipeleka taarifa bodi ya mikopo" . Taarifa zipi tena mkuu? form za maombi zilishapelekwa bodi muda mrefu sana, bodi ikatoa majina ya waombaji walio kosea baadhi ya vipengele, wahusika wakaenda bodi kurekebisha taarifa zao. Sasa hizo taarifa nyigine ni zipi?
Taarifa zako kuwa unaendelea na chuo au hapana hizo ndizo muhimu sana
 
TAARIFA MUHIMU KWA CONTINOUS STUDENTS.
Kwa wale wote continous students ambao mliapply mkopo wa elimu ya juu mara ya pili mnaombwa kwenda kuhakikisha kwamba taarifa zako kama zimefika board ya mikopo ya elimu ya juu kwa sababu maloan officer wengi wa vyuon huwa hawapeleki taarifa zenu ili muweze kupata mkopo.Hadi sasa hazina ipo kubwa ili kuwawezesha wanafunzi wa elimu ya juu kupata mkopo. Hadi sasa wanafunzi wa mwaka wa kwanza imefikia kiwango kikubwa kupata mkopo yaan wengi wamepata..Sasa mda huu umebaki wa continous students waliokosa miaka ya nyuma nao kunufaika na mikopo sasa basi nenda heslb ukahakiki kama loan officers walipeleka taarifa zako au hapana.. hii muhimu sana kwa sababu inaonyesha wazi kuwa wanafunzi wanaoendelea huwa hawapati mikopo kutokana na maloan officer wa vyuo husika kuhitaji rushwa na hili tatizo litafanyiwa kazi mara moja na bodi husika kuwafuta kazi wale wote wanaowanyima watu haki ya kupata mikopo
Kuna uchunguzi umefanywa inaonyesha kuwa kuna baadhi ya vyuo haswa UDSM na IFM maloan officer huwa wanapokea rushwa ili kuwapa mikopo watu ambao hawastahiki na kutopeleka taarifa za wengine loan board kama unaendelea au hapanaa... haswa chuo kikuu cha Dar es salaaam. Ila msijali hili tatizo limeshafikiwa na kamati kuu ya upelelezi
 
Me ntakua shahidi wa kwanza kutakiwa kutoa 500000 na loan officer wa chuo nnachosoma (UDSM) campus fulan, nlipotilia shaka matakwa yake alipanick mno
 
Continuous student should read CONTINUING STUDENT.
 
Back
Top Bottom