nikwaneema
Member
- Aug 14, 2014
- 6
- 1
Habari,
Nina swali naomba mnisaidie, je Expert kwenye maeneo ya kazi ni kina nani?
Sheria inasemaje kuhusu expert /foreigners?
Nafasi ya watanzania au ulinzi wa ajira za watanzania ukoje?
Nikipata jibu naiweka wazi kampuni sitaki kukurupuka.
Nina swali naomba mnisaidie, je Expert kwenye maeneo ya kazi ni kina nani?
Sheria inasemaje kuhusu expert /foreigners?
Nafasi ya watanzania au ulinzi wa ajira za watanzania ukoje?
Nikipata jibu naiweka wazi kampuni sitaki kukurupuka.